Mnajuaje location alipo mtu kwa simu?

Mnajuaje location alipo mtu kwa simu?

Mwambie akupe hii
Screenshot_20250315-161516.png
 
Watu wa MMU wamevamia jukwaa la sayansi na teknolojia. Kwani hamuwezi kukaa kimya akajibiwa na wanaojua?
 
Watu wa MMU wamevamia jukwaa la sayansi na teknolojia. Kwani hamuwezi kukaa kimya akajibiwa na wanaojua?
Mimi mwenyewe nimescroll nikijua nitaona hata clue ya jibu la hili swali ila naona ni maneno tu. Ninafikiri wabongo wengi kutokana na kutokuwa na akili tunapenda kuchit chat....kusogoa tu , tena wanaume!
 
Back
Top Bottom