Leo kimeumana😅😅Hivi huwa mnajuaje mtu yupo sehemu fulani kwa kutumia location ya simu?Nataka kujifunza hili somo naona huyu mdeni ananicjezea.
tujifunze kusoma kwanza kabla ya kukimbilia ku commentMkuu duniani nadhan kwa sasa tupo watu b. 8+ na kati ya hao wanawake ni b.5+ kwanini unateseka?
Hivi huoni unajitaftia magonjwa yasiyo ya lazima na mwisho wa siku utakufa mapema kama demu wako au mke wako una wasiwasi sio muaminifu kwanini uendelee kuwa naye?
😀😀😀😀😀 Mkuu kweli hapa nimeyatimba jana usiku mdeni nikasoma mdemu asee ngoja na weekend iishe maana isije ikanikuta ya jamaa wa GPSA na mkuu wwa mkoa wa taboratujifunze kusoma kwanza kabla ya kukimbilia ku comment
🤣🤣🤣...😀😀😀😀😀 Mkuu kweli hapa nimeyatimba jana usiku mdeni nikasoma mdemu asee ngoja na weekend iishe maana isije ikanikuta ya jamaa wa GPSA na mkuu wwa mkoa wa tabora
Yaan asee nimejikuta natafakari sana kuna muda ni muhimu sana kukwepa kutumia simu ukiwa na vibe sana kah!🤣🤣🤣...
utakuja kutuma baby i miss you kwenda kwa mkwe baadala ya mke
Kasema mdeni mkuu au sina D mbiliMkuu duniani nadhan kwa sasa tupo watu b. 8+ na kati ya hao wanawake ni b.5+ kwanini unateseka?
Hivi huoni unajitaftia magonjwa yasiyo ya lazima na mwisho wa siku utakufa mapema kama demu wako au mke wako una wasiwasi sio muaminifu kwanini uendelee kuwa naye?
Mkuu kasema mdeni sasa mimi bila Jay_255 kunistua kuwa nimetoa boko nilijua n mdemu😀😀 kuanzia sasa sicomment tena kuanzia saa nne mpka asbh ntakuwa nasoma kimya kimya napitaKasema mdeni mkuu au sina D mbili
Usilikimbie jukwaa mkuu mpe msaada mtoa madaMkuu kasema mdeni sasa mimi bila Jay_255 kunistua kuwa nimetoa boko nilijua n mdemu😀😀 kuanzia sasa sicomment tena kuanzia saa nne mpka asbh ntakuwa nasoma kimya kimya napita
Sidhani kama ni mdeni huyo!!Hivi huwa mnajuaje mtu yupo sehemu fulani kwa kutumia location ya simu?Nataka kujifunza hili somo naona huyu mdeni ananichezea.
😅😅😅Mdeni kajichanganya 😂😂