Lissu ana siri sana ila utunzaji wake wa siri sio kwa mambo ya kipuuzi kama hayoKwani Mbowe hamjui Tundu Lisu kuwa hana siri!
Bila shaka kila mmoja anajiuliza kwann mbowe hajagombea chauma? Jibu ni moja tu.
Alipoenda kumsalimia Lisu kule gerezani , waliongea mambo mengi sana. Mbowe alitumwa na wanamtandao, kuwa aende akamshauwishi Tundu Lisu kule gerezani alegeze kidogo, wampe majimbo, akubari kushiriki uchaguzi, Achane na "No reform No election" kama kawaida Tundu Lisu akakaza ,akasema nipo tayari kufa,"
, ukawambie mm nipo kwa ajili ya watanzania. " Wanamtandao walimwahidi vitu vingi sana Lisu endapo angekubari.
Sasa basi hii ndo point ya msingi kwann mbowe hajaenda chauma? Anaogopa Lisu akitoka gerezani ,atakuja kutoa siri, na ndio maana walitaka kumuua, kwa sumu. baada ya kukataa kupitia Mbowe.
Hakika Tundu Lisu ndio mkombozi wa wanyonge wa Taifa hili, Mungu akulinde dhidi ya wahuni hao.No reforms No election" Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Binti acha umbeaBila shaka kila mmoja anajiuliza kwann mbowe hajagombea chauma? Jibu ni moja tu.
Alipoenda kumsalimia Lisu kule gerezani , waliongea mambo mengi sana. Mbowe alitumwa na wanamtandao, kuwa aende akamshauwishi Tundu Lisu kule gerezani alegeze kidogo, wampe majimbo, akubari kushiriki uchaguzi, Achane na "No reform No election" kama kawaida Tundu Lisu akakaza ,akasema nipo tayari kufa,"
, ukawambie mm nipo kwa ajili ya watanzania. " Wanamtandao walimwahidi vitu vingi sana Lisu endapo angekubari.
Sasa basi hii ndo point ya msingi kwann mbowe hajaenda chauma? Anaogopa Lisu akitoka gerezani ,atakuja kutoa siri, na ndio maana walitaka kumuua, kwa sumu. baada ya kukataa kupitia Mbowe.
Hakika Tundu Lisu ndio mkombozi wa wanyonge wa Taifa hili, Mungu akulinde dhidi ya wahuni hao.No reforms No election" Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Lisu hawezi kumua wameshindwa, yeye ni mpango wa Mungu liazima kusudio la Mungu utimie kupitia yeye
Kama Lissu ni kibaraka, hao wanaouza rasirimali zetu kwa fujo tuwaiteje ? Bandari, Loliondo, gas, makaa ya mawe, madini, nk mnauza kwa wazungu, waarabu na wachina. Lissu aliuza nini, ????Bwege kutoka chadema chakavu ya kibaraka lissu likiwapumbaza mabwege wenzie kutoka chadema chakavu ya kibaraka lissu.🤣🤣🤣🤣
Basi hatofika anapotaka kwenda.Ndo njia aliyoichagua
Mbowe atabaki mioyoni mwenu na kwenye vinywa vyenu hadi pale mtakapoenda kumuomba msamaha kwa matusi na uongo mnaomtungia kila siku! Kama asemavyo Kaka Pascal Mayalla, karma ipo na karma ya Mbowe inawatafuna sana Chadema !Bila shaka kila mmoja anajiuliza kwann mbowe hajagombea chauma? Jibu ni moja tu.
Alipoenda kumsalimia Lisu kule gerezani , waliongea mambo mengi sana. Mbowe alitumwa na wanamtandao, kuwa aende akamshauwishi Tundu Lisu kule gerezani alegeze kidogo, wampe majimbo, akubari kushiriki uchaguzi, Achane na "No reform No election" kama kawaida Tundu Lisu akakaza ,akasema nipo tayari kufa,"
, ukawambie mm nipo kwa ajili ya watanzania. " Wanamtandao walimwahidi vitu vingi sana Lisu endapo angekubari.
Sasa basi hii ndo point ya msingi kwann mbowe hajaenda chauma? Anaogopa Lisu akitoka gerezani ,atakuja kutoa siri, na ndio maana walitaka kumuua, kwa sumu. baada ya kukataa kupitia Mbowe.
Hakika Tundu Lisu ndio mkombozi wa wanyonge wa Taifa hili, Mungu akulinde dhidi ya wahuni hao.No reforms No election" Mungu ibariki Tanzania
By mwinjilist wenu Gabeji
Na wanachadema waliokufa na kupotea vp?Mbowe atabaki mioyoni mwenu na kwenye vinywa vyenu hadi pale mtakapoenda kumuomba msamaha kwa matusi na uongo mnaomtungia kila siku! Kama asemavyo Kaka Pascal Mayalla, karma ipo na karma ya Mbowe inawatafuna sana Chadema !
Wamepotea na kufa Wana Chadema tu?Na wanachadema waliokufa na kupotea vp?
huko tuendako mambo anayoyaona Lisu wewe hata upande juu ya kichuguu huwezi kuyaonaBasi hatofika anapotaka kwenda.
Hakuna jambo la maana atafanya trust me. Zaidi ni kutaka kumkomoa nanii na hatofaulu kiuongozi.huko tuendako mambo anayoyaona Lisu wewe hata upande juu ya kichuguu huwezi kuyaona