Mnaikumbuka hii njemba?

Mnaikumbuka hii njemba?

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,210
mahitabc.jpg
 
Nakumbuka Nyerere alipokuwa ana mnadi Benny kule Moshi alipata upinzani kutoka Moshi jamaa kipindi hicho alikuwa kule ndipo jamaa alipochukua nchi akamkumbuka



Alimtwanga mabomu ya machozi Lyatonga mpaka akakaribia kuwa kipofu ili kuhakikisha tu Ben anaingia Ikulu..Hahahahahaha
 
Hawa ndio walikuwa wanafanya kazi wengine ni kwa maslahi ya wakubwa



Kipindi hicho ukisikia RPC ni RPC kweli, sio siku hizi eti kuna kanda maalum ya kipolisi,wizi mtupu,umesikia wapi kamkoa kadogo kuliko yote katika nchi kakawa na Ma RPC wanne..??
 
Kipindi hicho ukisikia RPC ni RPC kweli, sio siku hizi eti kuna kanda maalum ya kipolisi,wizi mtupu,umesikia wapi kamkoa kadogo kuliko yote katika nchi kakawa na Ma RPC wanne..??

Watu wanatumia fedha za serikali kuwapa shukrani waliowasaidia kuwaweka madarakani, kazi ya RPC ni kufanya coordination tu kikubwa anatakiwa awe na timu nzuri ya kumfanyia kazi tu lakini nchi yetu utasikia itabidi tuzigawe kata hizi au tugawe wilaya au tugawe mikoa (kumbe nyuma ya pazia kuna mtu ameshaona in the next 2 years kuna pande atapigiwa mtu au kuna mtu ameona hakubaliki sehemu anajenga hoja ya kugawa ili wale ambao ni threat kwake wanakuwa upande mwingine
 
IJP OMARY MAHITA


Mzee wa NGUNGURI yuko Moro
ni kiboko ya CUF maana waliposena
NGANGARI. MAHITA akajibu kuwa
Geshi la Polisi ni NGUNGURI.
 
Back
Top Bottom