Nina muda usiozidi miezi miwili hapa JF nimeanza kunongewa na kwa vile sipendi vya bure nipo mbioni kwenda kulipa premium. LAKINI? kuna watu hapa JF hasa wewe na wewe eeeh na fulani nilitaka kusahau.Muda mwingi mko hewani, kila nikichungulia nawakuta hewani,hata sielewi,kazi mnafanya saa ngapi,kunywa saa ngapi,kusali saa ngapi,kula saa ngapi na kukumbatia saa ngapi? yaani hata usiku mpo hewani. NIPENI siri ya ratiba zenu maana mmmh kuendelea nataka na kuacha kulogin JF pia nataka.Naona sina muda kabisakabisaaaa.