Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,690
- 182,711
Sawa shemeji, nikifika nitakucheki.Service road... Kulia.
Karibu
Sawa shemeji, nikifika nitakucheki.Service road... Kulia.
Karibu
Ebana hapo ni kushoto ama kulia kama natokea mbezi kimara!!!????Kafungua aisee utaweza lile kalio?
Umesema Bambalaga nikakumbuka kitu.Yap!! Dodoma tukutane bambalaga leo maana nshaanza safari
Kulia kama unausafiri unapanda daraja la juu unavuka.Ebana hapo ni kushoto ama kulia kama natokea mbezi kimara!!!????
na mnada ni jumapili peke yake
[emoji1301][emoji1301][emoji1301] niume sikioUmesema Bambalaga nikakumbuka kitu.
Arobaini ya marehemu Mzee wako lini?Kama kawa leo j2 mbuzi wakutosha Kibamba chama mida hii ni supu kwanza
NB: local beer
ndogo 2000
Kubwa 2500
Nyama ya mbuzi bei ni rafiki
Karubuni wadau[emoji3052][emoji1634][emoji481][emoji481][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238]View attachment 1944238View attachment 1944239
Kuna mtu aliniahidi kunipeleka halafu kajisahaulisha. Ngoja nikamkumbushe.[emoji1301][emoji1301][emoji1301] niume sikio
pale mtoni pana mengi sana,kutokana na standard ya uwanja kuwa duni na hali ya hewa kuwa Joto sana lolote laweza kutokea "nyingi au chache"yote majaliwa muhinu duwah..Intelligencia inatuambiaje pale Mtoni "rivers" [emoji28][emoji28][emoji28]
Ok shukran sanaKulia kama unausafiri unapanda daraja la juu unavuka.
Kama una daladala unashuka kibamba chama unavuka barabara
Ngoja tuone...Kafungua aisee utaweza lile kalio?
Alifariki 4/9 ilana Kwan sisi wakristo hatunaga AROBAINI karibu krismass mkuuArobaini ya marehemu Mzee wako lini?
Akizingua nistue mimiKuna mtu aliniahidi kunipeleka halafu kajisahaulisha. Ngoja nikamkumbushe.
[emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pale mtoni pana mengi sana,kutokana na standard ya uwanja kuwa duni na hali ya hewa kuwa Joto sana lolote laweza kutokea "nyingi au chache"yote majaliwa muhinu duwah..
Hii jezi mtavaa wapi??[emoji2960][emoji2960][emoji2960]pale mtoni pana mengi sana,kutokana na standard ya uwanja kuwa duni na hali ya hewa kuwa Joto sana lolote laweza kutokea "nyingi au chache"yote majaliwa muhinu duwah..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akizingua nistue mimi
[emoji1756][emoji1756][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] karibia ila mi ndo natoka Dumila naisaka Domnipo darajani hapa nakuja mitaa hiyo
View attachment 1944755
poa, safari njema..[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] karibia ila mi ndo natoka Dumila naisaka Dom
[emoji1317][emoji1317][emoji1756][emoji1756]poa, safari njema..