Mnadani leo Kibamba

Mnadani leo Kibamba

Kuna vibe pale[emoji3] kuwekaga limit ya muda wa kuondoka kwakweli nilishashindwa unaweza shtuka saa 10 alfajiri.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimepamiss for two weeks nipo Dar lazima nitimbe aisee
 
Kama kawa leo j2 mbuzi wakutosha Kibamba chama mida hii ni supu kwanza

NB: local beer

ndogo 2000
Kubwa 2500

Nyama ya mbuzi bei ni rafiki

Karubuni wadau[emoji3052][emoji1634][emoji481][emoji481][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238][emoji238]View attachment 1944238View attachment 1944239
Samahani mkuu kama ntakukwaza, funguo hapo umelenga ujumbe gani? Je wew ni msukuma?
 
Inainekana siku ukitimuliwa kazi utakufa kabisa!!
ama nyie ndio mlisota sana kupata ajira.....
manake inaonekana haupo huru.......!!!?
saa sita saivi unawa kazi ya kesho!!?
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom