Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Akiwepo mbona mimi mwenyewe saa tatu tu nataka twende bedroom... akirudi you will notice the difference..
Nikilala mapema na hivi hayupo naboreka hivyo bora nile entertainments kama movies na net then sleep..
Kweli kabisa mdogo wangu...Umenikumbusha enzi zile za mitihani....mambo yakigota unahesabu mabati, matofali, mbao n.k ili usionekane umekuwa wa kwanza kutoka kwenye chumba cha paper!! I can imagine ukionza kuona maluwe luwe katika yale mambo yetu...labda uwe tool box yenye visaidizi vya kutosha. Vinginevyo kesho utaonekana kama ulikunywa chupa nzima ya Vodka!