Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,275
Kile utataja niko tayariKuna vinywaji gani maana vinyaji vimekua vingi kua safe tunauliza kwanza...lol
Kile utataja niko tayariKuna vinywaji gani maana vinyaji vimekua vingi kua safe tunauliza kwanza...lol
Huwezi jua mkuu Dena Amsi, waweza kuta anatumia ID mbili teh!Hv wewe ndo Ashadii?
Mende hupati?Napenda vinywaji flavor ya apple i.e Appletiser na Bavaria..
Bia mwali hunywi?ha ha ha ... Naomba uongee lugha rahisi..
bia mwali hunywi?
vipi sio maneno yako??? Lol
Castle light ila nikiwa maeneo ya kujishaua napata brandy remmy martingaga beer ipi its ur favourite?
Castle?
Kili?
Safari?
castle light ila nikiwa maeneo ya kujishaua napata brandy remmy martin
Nipatie light tafadhali a lager of excellenceAsha, naomba popote pale utakapowaona Gaga na Dena,
waambie kuwa niwaagizie bia gani huku........?
za moto au baridi?
Ndo maana yake kuna sehemu ukishika lichupa la bia unaonekanaje sijui mwanamkeha haaaaa
maeneo ya kujishaua sio lol
Asha, naomba popote pale utakapowaona Gaga na Dena,
waambie kuwa niwaagizie bia gani huku........?
za moto au baridi?
ndo maana yake kuna sehemu ukishika lichupa la bia unaonekanaje sijui mwanamke