Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Haya Husninyo tupe wasifu wa rangi ya ngozi yako ya nje ionwayo na watu wote.
ngoja nimuulize ankal kwanza.
Haya Husninyo tupe wasifu wa rangi ya ngozi yako ya nje ionwayo na watu wote.
ngoja nimuulize ankal kwanza.
ungemwambia babu aninunulie hata pipi ya kijiti jamani.
afu wewe nataka ile midume mingine yote uiambukize gono ili isipone kwenye huu mgomo nikufaudu peke yangu.
Inamuhusu?
Yatakushinda...toka asubuhi hubanduki jf? Khaaa!Kwa nini utumbo utupwe? wakati wenyewe twalia ndizi
Hapa inajadiliwa si ha sa, tunaomba mchango wako!Mjadala uliomo humu na thread yenyewe tofauti.
Hata hivo chochote kile ukitaka ukigeuze siasa inawezekana tu ni wewe mwenyewe kuamua kiwe siasa ama si-ha-sa.
Afu bepari umeliwezea haswa manake lilizidi kutupigia makelele humu ndani...nimeyaambukiza, yote yamelazwa.
Si unaona hayaonekani siku hizi humu.
Eti bepari limeamua kujitibu kwa ugoro
Yatakushinda...toka asubuhi hubanduki jf? Khaaa!
Hapa inajadiliwa si ha sa, tunaomba mchango wako!
Hapa inajadiliwa si ha sa, tunaomba mchango wako!
Hapa inajadiliwa si ha sa, tunaomba mchango wako!
akitaka kuwa Newton kwenye kiswahili, ndo atakoma leyo.
Matembele ni nini?...Kazana kula matembele yanaleta afya ya mwili haswa kwa nyie akina dada
Lol....akitaka kuwa Newton kwenye kiswahili, ndo atakoma leyo.
Daktari unawaona hao watu hapo juu wanavyochakachua hii sredi?Kwanza kabisa ningeomba ni "declare my interest"kuwa mimi ni dokta by professional na namuunga mkono mtoaji wa huu uzi.ningeomba wana MMU tuweke mapenzi pembeni na tujadili hoja kwani "uwezi ku do kama unaumwa".