Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Yep!!Kweli upo juu
Nasikia kuna rapid test sikuhizi
Ndo mpo nacho hapo kaunta au
DETRMINE fasta tu!!
Haikosei hiyo arif!!
baada ya hapo ni kuku mtamu!!!
Yep!!Kweli upo juu
Nasikia kuna rapid test sikuhizi
Ndo mpo nacho hapo kaunta au
hahahahahaaa!!!Hahaha nilikuwa na macrap dah i see, nilikuwa na tender nyingi za ukaguzi nikajikuta nafika home asubuhi kubadili nguo nakuondoka
Bado hamjakubaliana tufanze nini. Husninyo hapo juu. Naitumikia fifty yangu.
Bado hamjakubaliana tufanze nini. Husninyo hapo juu. Naitumikia fifty yangu.
babu kweli hunipendi. Hujaninunulia hata azam cola! Fifty umekula mwenyewe.
zilikuwepo zile za mia saba tu
nikamwambia hizo ni tuu eksipensivu
labda kijoti?
Bado hamjakubaliana tufanze nini. Husninyo hapo juu. Naitumikia fifty yangu.
come this way husninyo nikupe mgawo wa buzi lako kloro.
Umesha mkagua huyu? Anataka kula ile 50 hivi tulisema weupe kazi yao kutoa chupa na kuleta vinywaji weusi ndo wakutupepelea wkt vitu baridi vikishuka
Mambo ya MoY Yamekujaje tena.... I thought yalikuwa masihara kule, lakini unavyoshupalia inavyoelekea umekwazika mpaka kuyaleta huku. Told u, mwenyewe najijua sideserve, na wala hayaniongezei chochote kile. Sasa nambie basi anayedeserve nimzawadie...khaa! Hii ni JF mama, dont take things too serious.
Heshima mbele kama kawa.
Haya, Turudi kwenye siasa na mustakabali wa afya za familia zetu.
What's going on up in here?
na ambao sio weupe wala weusi. Babu hajaruhusiwa kunikagua.
tumeshakubali tunakuja kunywa
tukilewa hamna kuambiana 'NO'