Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Khaaa sasa babu kwa kuharibu baologia tutafanikiwa kweli???Tuwakumbusheje sasa.... tuwaharibie baioloji zao?
Au tuhamishie vikojole vyao usoni? Naibu waziri mbona atatisha sana?
Hahahahah:crazy:
Mie nimesoma hapo kwa bold tu....:lock1:
Matourist wagome kwenda kubembea nchi za watu na wake zao? Misaada tutapataje sasa?
Mie nadhan tuingie tu street ukiwa mstari wa mbele kutuongozea hayo maandamano mpaka watawala wasikie kilio chetu!