Orrionorri
Member
- Oct 17, 2014
- 21
- 5
Salamu za upendo kwenu wadau wa MMU na JF wote kwa ujumla, toka kwenye vilindi vya moyo wangu. Nakuomba nawe pia, uchukue fursa hii kumpa salamu mtu mmoja au zaidi mwambie unampenda na kumthamini, na Mungu atakubariki.