ahahahahaaaaaaaaaaa!...umekubali mapigo ya bebii mkuu,halafu amekuwa mkali kweli kweli.
Mkuu upo?......vip umeaaply hii offer ya da bebiii
daaah bishanga nipo sirias naona hamna shida tf mbona namjua sana tena niko nae hapa
kumbe nimekosea eeeh nitakuwa siwapi tena madeal hapa
nimeituma ila picha tu ndio situmi,..maake najua utaanza kuangalia sura_na wengine ni sura za kokoto.we igwe acha kelele leta application
Kiukweli wadau wote wa hapa kijiwe cha mmu nyie ni rafiki zangu na ninawapenda sana,nimeona si vibaya nikatoa upendeleo juu ya hili swala kwenu
kwa wale wanaotafuta kazi
kama una bachelor or adv diploma ya accounting au
business admn nitumie cv na passport size 3 kuna kazi ipo mkononi mwangu karibuni mwisho saa sita
yeah_mwanzo...mwisho mkuuBebii mwisho aisee
Lol......To be sincere nahisi Bebii nia na lengo lake apate picha halisi ya The Finest,bila shaka keshajaribu tactic zote za kupitia PM imeshindikana.leo utampata tu.
:lol::lol::eyebrows:daaah bishanga nipo sirias naona hamna shida tf mbona namjua sana tena niko nae hapa
Unajua hizi PM huwa zinachanganyikiwa saa zingine unaweza kushtukia badala ya kuja kwako imeenda kwa PAW au imeenda kwenye ki-button cha REPORT ABUSE, masaa mawili tukutane Holiday Innkwa ajili yako naongeza masaa mawili
Hayaaa.....Bishangautasema kila kitu leo,TF jana mbona nimemwona Dubai na Husninyo,karudi Dar sa ngapi?
haya bwanalol......
:lol::lol::eyebrows:
Unajua hizi pm huwa zinachanganyikiwa saa zingine unaweza kushtukia badala ya kuja kwako imeenda kwa paw au imeenda kwenye ki-button cha report abuse, masaa mawili tukutane holiday inn
hayaaa.....bishanga
sawa bebii_ngoja nichangamkie maake hili dael linaweza kunitoa.picha muhimu