Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini_Jeuri!...shimo lako likitema usinisahau mkuu,Ubarikiwe kwa moyo huu wa upendo............weweumeanza naamini wengine tutafatia!
Jamani bebii sasa sisi wa huku Kantalamba tufanyaje?Tupe email yako basi//////Maana nasi twataka hiyo kazi bana eeeh.Kiukweli wadau wote wa hapa kijiwe cha mmu nyie ni rafiki zangu na ninawapenda sana,nimeona si vibaya nikatoa upendeleo juu ya hili swala kwenu
kwa wale wanaotafuta kazi
kama una bachelor or adv diploma ya accounting au
business admn nitumie cv na passport size 3 kuna kazi ipo mkononi mwangu karibuni mwisho saa sita
Yaani wewe umepinda kama wale mashetani6 wa jana wenye kelele nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi
Usijali Igwe nasubiri aniite kwenye interview,ikikubali tu sitakusahau,Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeee!da Canta....bebii akikupa kazi usinisahau kwenye umalkia wako plz.
haya da Canta.........Usijali Igwe nasubiri aniite kwenye interview,ikikubali tu sitakusahau,Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
ila bebii nafasi ni ngapi?...isije ikawa kama zile za hazinaduh wewe cv yako nitaifikisha kweli duuuuh itapasua server
Jamani bebii sasa sisi wa huku Kantalamba tufanyaje?Tupe email yako basi//////Maana nasi twataka hiyo kazi bana eeeh.
Aisee hili ni zinga la postAisee hili ni zinga la ofa.
Man United still better than City: Mancini - Sports - Football - ibnliveAseee!
Duh!
Basi nitatuma ya mdogo wangu naye ajaribu bahati yake..Maana mimi sasa niko nje ya mpambano huo...duh wewe cv yako nitaifikisha kweli duuuuh itapasua server
Aisee hili ni zinga la post
Wenye sura za kokoto_hapa hatupati kazi!...ila wewe Preta utajiuza kwa sura maake Cv yako imekaa ndivyo sivyo,...kwa hiyo ww tuma kwanza hizo pichasasa Bebii....picha ndio nilizonazo karibu....si natanguliza kwanza then vingine vinafuata....