Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Pole kwa msiba ndugu!
Kwa Mara nyingine tena nawashukuru kwa faraja mnayoendelea kunipatia, binafsi najua ni namna gani mmekuwa na mguso moyoni mwangu!mbarikiwe sana wote....nimeshindwa kutaja mmoja mmoja na kujibu! mazishi yalifanyika Same mashariki Jana! Tuzidi kuiombea hii familia na Baba ambae sasa ni mgane.