Embassy Hotel ndio sasa imepata mdau inakarabatiwa, zamani tulikuwa tunaenda kumuona muigizaji wa nyimbo za papa wemba na mwanzilishi wa bendi ya Diamod sound wana kibinda nkoi, hapo mwenge kufika ilikuwa sh. 100 tu watoto wa papa Fred Rwegasira walikuwa wakiturusha roho kwa kucheza pichu za boxer , enzi hizo kibinda hakuwepo bendi inafuata hapo, wakian diana astoni villa, kamuke sukari, elly rogomba, liliani internet, safu ra rapa, mulumba kashama, mpiga soro elly kinyama, walikuwa wakipiga pamba balaa. Wengi tumeikumbuka Motel agip waanzilishi wa andaz za donati, ukila moja hakuna kula mchana, sasa hivi jengo linafanana na la kufugia kuku.