Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,887
- 141,520
unaikumbuka MOTEL AGIP??? nakumbuka burger zao na chicken chips!
Halafu nimeona mlikuwa mnamzungumzia marehemu Mwinuka yule b-baller. Alikuwa anaitwa Henry au Hope Mwinuka.
Najua A level alisoma SRSS
Halafu nimeona mlikuwa mnamzungumzia marehemu Mwinuka yule b-baller. Alikuwa anaitwa Henry au Hope Mwinuka.
Najua A level alisoma SRSS
Hope Mwinuka ndiye alikuwa na nickname ya Dudu (R.I.P) na ni kaka mkubwa wa Henry...
Ah hiyo yeyote aliyezaliwa na kukulia Dar lazima aijue.
Bila kusahau Oysterbay hotel (haipo tena siku hizi), Palm Beach na kadhalika.
kweli kabisa hiyo embassy hotel ilikuwaga wapi?
.............