nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Bibi tulizana kaa huko uwaze maisha yako baada ya kusitaafu yatakuwaje, umejiandaaje.
Hahahahaaaaahaaaahaaaa, you don't know me LebronWade unapotaka kuongelea kitu kuhusu mtu fulani make sure wamjua vizuri au unajua story yake. Sitokujibu tena endelea kuweweseka.
Bibi tulizana kaa huko uwaze maisha yako baada ya kusitaafu yatakuwaje, umejiandaaje.
Mkuu h apa kun a quote hii maana yake unaquote kile ambacho unakiuliza au kukubaliana nacho ili ambae atafuatilia atasoma quote halafu atasoma maelezo ya chini ili aweze kupata maana
Hii ya kufuata mtiririko inatoka wapi mkuu?
WELCOME TO MY WORLD WHERE TRUTH HAS NO TEMPERATURE! Ngoja nikakujibu ile hoja niliyotupiwa pande na Angelita nikujibu!
Ok mkuu muuliza swali ni mimi na mimi ndiyo nimeona halijajibiwa ipasavyo zaidi nimeona maelezo tu.
Nadhani tukubaliane kutokubaliana kwa hili ndugu.
Usikimbie dada Angelita...tunajadili hoja kwa hoja na nachukua unachoandika humu....as far as of now,mwenye mume ambae ni mwanamke kama wewe,ana dam na nyama kama yako na ana pus.sy kama yako kakupa msaada mushee mume kwa hiari yake na wewe utoke....so unaishi kwa huruma ya mwanamke mwenzako so to speak...basi huna u-tough wowote unaojisifia humu kua unao...bisha hii kwa hoja,i double dare u!
Hapo ndiyo na Mimi ninapowaona RAIA humu wanakuwa wanafiki.
Hakuna mtu hajawahi kula maisha, kama umestaafu toa ushauri na siyo kuhukumu na kushikia bango.
Bibi tulizana kaa huko uwaze maisha yako baada ya kusitaafu yatakuwaje, umejiandaaje.
Nilidhani umepita kimya kimya...lol
Maana inataka moyo...si unaona makombora yake si ya kitoto...te te te
SO NOW YOU ARE QUOTING ME GRANNY! Hahahaaaaaaaaaaaa! Itakuwa kimekukolea ndimu kweli kweli!
HAHAHAAAAAA! NOT JUST YOU AND I, MATTER OF FACT HATA Asprin , Matola, and other party people wanajua IM 45!:A S wink: Hahaaaaaaa! Okay there you got me GRANNY (According to THE ANGEL!)
And YES! SIWEZI KUPATA NDO MAANA NACHUKUA WAUME ZA WATU! REMEMBER! Sasa sijui wewe IMEKUHUSU VIPI OR MAYBE KIBOMU CHA GRANNY KIMEGONGA IKULU! BWAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
And IT WAS SO MUCH FUN WHEN YOU WERE SPEAKING IN RIDDLES AND PARABLES! Orevwaaaa GRANNY!!!!!!! 7 years if im still alive ill definately be here CHECKINGGGGGGGGGGGGGGGGGGG!
ha ha ha...nafurai sana napokutana na watu wanaojifanya wana vifua kumbe wako very fragile...poyeee mtoto mzuri eehhh
Nani mchokozi...NK...tema nimchape...
UMEONAAAAAAAAAAAAAAAAA! GRANNY AND COMPANY kisa wao wako WASHASTAAFU, OLD AND BORED kwa kuhofia competition wanataka wam CAGE mtoto wa watu akiwa bado mbichi kabisaaaaaaaa! Madai wanamshauri! Puuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Akija baadae kuzibuka wa kwanza kudai ALIRUKA STAGE HUYU SI BUREEE! MTOTO AKILILIA WEMBE MPE UKIMKATA SIKU INGINE ATAJUA UCHUNGU WAKE!
WAMUACHE MTOTO WA WATU AISHI KAMA 21 YRS OLD!
Hahaaaaa lol.. nimejikuta nacheka...
Ngoja niendelee kusoma.. niko page ya 63
Sasa umegeuza umri ndio hoja ya kujifichia?Kwa maana wewe unakua kwa kushuka chini au?
Mbona kwangu inasoma page ya 35 bibie?Hahaaaaa lol.. nimejikuta nacheka...
Ngoja niendelee kusoma.. niko page ya 63
Grandmaaaaaa(bibi) mbona unaenda kwenye personalization rudi kwenye mada.
Au bi ubuyu kote upo kama HOE?
Wanaume mna kazi miaka hii...
Msikubali ndoa mpaka muwapitishe hawa mabinti kwa mkemia mkuu awapime vinasaba...
Maana mtu anakwambia yuko 25 since 2005...miaka imeganda tu...
Na silaa yao kubwa kutaja umri...maana sura zimeshawashuka kusema vikongwe...