Mkuu ukiona nguo sio size yako unaiacha, Mimi kitu kama sikipendi na kinanikera napita kando sio kila thread lazima uweke comment yako, ila tunashuku kwa mchango wako.
Mkuu Mimi ndio msahiliwa hapa na Mimi ndio starring kwenye huu mjadala, Mimi ndio nimewapa cha kujadili hapa.
Anzisha thread yako weka ushauri wako huko tena itakuwa rahisi kuwafikia wengi, maana itaonwa na wengi kuliko hapa hadi comment yako ionwe sio rahisi zaidi usituwewesekee hapa.
You can say that again...utapoteza muda tu na ushuzi huu...so unakaa kimya tu na kuwa mtazamaji
Hahahaaaaaaaaaaaaa! HIVI miss neddy KUNA WATU ULIWATUMIA KADI ZA UGENI RASMI KWENYE HII MADA? Manake walikuwa kwenye foleni za DOCTOR!
Ngoja nitafute kinywaji....
Afu naona umepanic baada ya kukwambia inawezekana nyumba kubwa naye ni full mchepuko au? Ulitaka yeye atulie wakati nyie mnakula raha...jiulize tu mko wangapi...
Dear kama hujui JF comment aisomwi na mleta thread na anayeojiwa peke yake...
Ndio maana mods hawajazuia possibility ya watu ku comment
Kwa hiyo comments zangu zote hapa ndio mwake...
Hahahahaaaaaaaaaaaaaa! SHOSTI BIRTHDAY PARTY YAKO UNAYOFANYIWA USIACHE KUNIALIKA!!!!!!!!!!! HAACHWI MTU HAPA! MKEWE ATA JIJU NA KUJI JJJJJJJ!!!!!!!!!! Kanisambazeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mwenye mume kakubali yote itakuwa hawa? Hahahaaaaaaaaaaaaa! AMWAMBIE MISS NEDDY AJE NAO AWAFANYIE HOT TALK IKIMBARIKI SI NDO INTERVIEW YAKE ANAALIKA WATU, WE UNAHUSIKA VIPI HAPO!
Weweweeeeeeeeeeeeeeeee! MADA IMEKUWA MPERA MPERAAAAAAAAA!
Afu naona umepanic baada ya kukwambia inawezekana nyumba kubwa naye ni full mchepuko au? Ulitaka yeye atulie wakati nyie mnakula raha...jiulize tu mko wangapi...
Mkuu ukiona nguo sio size yako unaiacha, Mimi kitu kama sikipendi na kinanikera napita kando sio kila thread lazima uweke comment yako, ila tunashuku kwa mchango wako.
Hahahahahaha..lolest...najivika mwenyew ugeni rasmi kuna shidaa
Afu naona umepanic baada ya kukwambia inawezekana nyumba kubwa naye ni full mchepuko au? Ulitaka yeye atulie wakati nyie mnakula raha...jiulize tu mko wangapi...
Sijai dis thread yote...ila kuna watu nawajua tokea, na sipendi kuwajibu..you are not one of them kwanza nimekujua thru hii thread tu...
Na tunapo comment haina maana tunakujibu wewe ...
Huu ni mjadala...una represent wengi tu nyuma ya key board na comment yangu inaweza ikawa na maana kwao...
Tunalitambua hilo ndomana tukaileta hapa watu kama wewe mtokwe mapovu.
Nyie endeleni kuongea na kubishana hapa, mwenzenu bwana ninaye pembeni namkuna kidevu, hapa tunasubiri watoto wamalize kusuka tuwapeleke kula ice cream chezea mama mdogo wewe.
Best yangu mbona unachuki sana na married women?Wamekufanya nini?Yaani unachuki mpaka inablind ur arguments...Be happy bwana,jenga chako mungu atakusaidia.
Unaniongelea Mimi?
Kwa maana pale umequote reply ya mtu aliyonijibu mimi , ni vizuri ukawa muwazi.... Kwani mtu akikuona wa nini wewe inabidi umuone wa kazi gani.....
Nasubiria majibu.
shida ipo kubwaaaaa! angelita ndo mgeni rasmi, and THE GIRL OF THE MATCH, so YOU CAN HAVE THE SEAT AT THE VERY BACK CONNER:spit::spit::spit::spit::spit:
SITI ZA MBELE ZINA WENYEWE DEMOCRATS angelita, lara 1, Manka M, ASKutasame, NA WENGINEO MAKAMANDA. REPUBLICAN kuna nyumba kubwa, Tyta mikono itakuwa imemvimba toka janaaa Hahahaaaa, Matola, Diva Beyonce, ETC. kATIKATI KUNA kina bi ubuyu HUKU WAMO, KULE WAMO, hapo unamkuta Tumboo, HOE, ETC.
so ONLY THE CONNER SEAT AT THE VERY BACK IS LEFT! HAVE FUN!:A S wink::A S wink::A S wink: