MMU hot talk


Hahahaaahaahaha..... Jumapili Leo ibada ilikuwa nzuri sana.

Back to the topic umalaya ni umalaya, anayetembea na mume/mke wa mtu au anayetembea na mtu ambaye hajamuoa au kumuoa wote malaya, hata wale ambao wazazi wao hawajaoana ni Malaya na watoto nizao la umalaya. Mtu ambaya natakiwa kumuonesha majuto yangu ni Mungu pekee sio mwanadamu.
 

Asakuta wote wana makosa,ila kila mmoja ana utashi wake among the two...sasa basi,as per topic here tunamzungumzia huyo dada,yeye kafanya nini kuacha hiyo kitu isitokee?maana in part na yeye ana decision making hapo.....

Na kufanya dhambi halafu unaanza kujisifia haitakiwi...kibaya zaidi wengine tunajisifia publicly
 
Last edited by a moderator:

Hahaaaaaaa! We hujawazoea TEAM FREE P! THEY BE JUDGING YOU NOW BUT LATER FULL KUPIGA P FREE OF CHARGE! AND THEY BE TELLIN THEMSELVES ITS OKAY WITH GOD SINCE THEY DIDINT CHARGE! HAHAAAAA!
 
Hapo nilikuwa naongelea dhambi na Mungu mkuu , usichanganye vitu hapo.......

Ila kama umeshatoka huko kwenye mambo ya Mungu unataka tuhamie kwenye dunia dunia ngoja nirudi huko.
Je huyo mume aliwekewa mtutu wa bunduki?
Je kichwa cha hiyo taasisi ni nani, siyo mume?
Huoni kwamba with or without angelita huoni kama hiyo taasisi ipo ICU kwa kukosa kiongozi?
Blame zilizopaswa kwenda kwa mume msizilete kwa angelita , she is another victim of poor leader of hiyo taasisi.
 
Last edited by a moderator:
Its a FREE COUNYRY SINCE 12th DEC1961. And last time I checked it was not illegal

Angalia sasa,majibu mepesi kwa maswali magumu...wewe una moral authority gani ya kuiita ni hypocritical institution?...
 

Nahisi tunaongea lugha tofauti hapa mkuu.
Tukiongelea kidhambi na Mungu tusichanganye na utashi wetu wa kufikiria.
Kama tunakubaliana hapo kwenye dhambi kuhukumu hili itakuwa ni unafiki wetu tu binadamu, think think wewe binafsi madhambi yako na usivyoweza hata kuyakiri nani anaafadhali kati yako na huyu binti.
 

Hahahaaaaaaa...umesahau nawao wamezaliwa njeee hahahaaaaa, muhudumu naomba castle lite nyingine 5 mpeleke na yule kaka pale vodka nyingine, maisha raha sana kwako magumu wengine wanateleza tu.
 
MMU HOT TALK....

Nilikua busy celebrities forum hadi nikasahau mambo ya hot talk
 

Nakuelewa mzazi...issue ni kwamba yeye ana jisifu kwamba ni sahihi.....tukijisifu na dhambi tunajenga usugu kwamba haya madhambi yetu tunayofanya kila siku ni sahihi,neno kutubu litakua msamiati.....im a killer,im not proud of it,im trying to repent na kuacha,mungu nisaidie
 
Hahaaaaaaa! We hujawazoea TEAM FREE P! THEY BE JUDGING YOU NOW BUT LATER FULL KUPIGA P FREE OF CHARGE! AND THEY BE TELLIN THEMSELVES ITS OKAY WITH GOD SINCE THEY DIDINT CHARGE! HAHAAAAA!

Iwe free p,iwe 1000usd p,etc yote ni uzinzi...hatuwezi jisifu kwa chochote hapo...sasa sisi tunajisifu as if tume archive kweli kweli...
 

Kwahiyo ni fresh kujisifia dhambi kwa binadam unaeishi nae kila siku na kutubu hypocritically kwa mungu ambae hujawahi muona?...what a classy lady,i like u.
 
Hahahaaaaaaa...umesahau nawao wamezaliwa njeee hahahaaaaa, muhudumu naomba castle lite nyingine 5 mpeleke na yule kaka pale vodka nyingine, maisha raha sana kwako magumu wengine wanateleza tu.

Ndo hapo sasa unapokomalia its a mstake na kusahau YOU ARE A RESULT OF THAT MISTAKE! Ooooooops!

We waache walie walie tu humu, WATU WAKIPENDANA WANAGEANA TU! KWANI KITU GANI? HUMANS ARE ANIMALS AND CAN NEVER BE BOUND BY A PIECE OF PAPER!
 
Karibu bado hujachelewa kabla hujakaa anza kusalimia kwanzia kule mwanzo afu uchukue kiti uangalie mambo yanavyokwenda.

Atoe declaration kabisaa kama DEMOCRAT AU REPUBLICAN. Hatutaki mchangia, huku umo, na kule umo! REPUBLICAN WAKO HOI HUMU NA PRINCIPLE ZAO ZA 1920s
 

Hahahaahahaaaaaa..... Unahakika gani hao wanaotenda dhambi mbele za watu hawatubu?????
Wewe ndio dizaini ya wale watu wakifanya kitu basi wote wajue, unamuonyesha mwanadamu majuto ilikumfurahisha badala umuoneshe Mungu wako?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…