Kuna fumanizi la siri... miss neddy kam ghafla hapa.
mama watoto mi nd natoka kikaoni benki kuu sasa hivi jamani!
Window7 anasemaje? keshaanza kuchombeza eenh?
hahahaha usizuge hapa kaniita nikufumanie eheeee nieleze kiunagaubaga
sasa utanifumaniaje wakati sipo? hahahaaaa!!
enhee! umekuta kuna nini?
Kweli fumanizi linapagawisha. Naona vidole vyako vina-vibrate hapo.
si vimemo vyako wapata hadi vya ziada kwangu na bado watamani vilivyochacha
Bado niko nae kishingo upande ingawaje kwa sasa kuna fursa nainusanusa kwa ukaribu.. Ntakujuza ikikaa sawa...!
we naona Tarime one kakupagawisha kulaleki... we nenda katoke nae mama..! nsije nikacharangwa makofi bure!
bado najipenda mama!!
aiseeeeeeeeeeeeeeee
Bado niko nae kishingo upande ingawaje kwa sasa kuna fursa nainusanusa kwa ukaribu.. Ntakujuza ikikaa sawa...!
mbona waacha mdomo wazi kulaleki! unaenda kwani mama?
dadiiiiiiii nimekuja... ebu tuanze kuisoma plishhhhhhhhhhh.... maana katumia kiswahili ila nahisi kutoelewa kabisaaaa....usiwe na wasiwasi! mi nina uwezo wa kumchomoa ndani ya kundi la simba wakali na akaja!
J.lee kazaa na Molembe? aisee mbona sielewi?
nameless girl hebu ruka huku mamii! kuna love story inaendelea.. uje kabisa tuisome pamoja!