MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Ngoja nijaribu.... ila dadiiii usikae mbaliiii mana kama ni muraaaaa sijui itakuaje bila wewe....

nipo nawe bega kwa bega mtoto wangu. ntakupokea katika dhiki na faraja.

akikusumbua, we rudi nyumbani upumzike.
 
nipo nawe bega kwa bega mtoto wangu. ntakupokea katika dhiki na faraja.

akikusumbua, we rudi nyumbani upumzike.

Dadiiiiiiii.... inavoonesha kama umekula pesa za watu af wataka niuza.... kuna usalama kweliiii dadiii... mie naogopa etiii...
 
Nilikua nakuvizia nione una mahusiano gani na huy jamaa.. Ok let me clear my throat first...

hahahaaaa before you do that.... unajua mie nimetoka kwa dadiiiiii Excel the King, ni mtoto wa kishua... nadhani waelewa namaanisha nini!!!
 
Dadiiiiiiii.... inavoonesha kama umekula pesa za watu af wataka niuza.... kuna usalama kweliiii dadiii... mie naogopa etiii...

mwanangu hivi kweli mimi wa kukufanyia hivyo?

come on my child, i am giving you freedom... trust me, mi nna pesa zangu binafsi! hata ww walitambua hilo!

uongo?
 
hahahaaaa before you do that.... unajua mie nimetoka kwa dadiiiiii Excel the King, ni mtoto wa kishua... nadhani waelewa namaanisha nini!!!

Nimekuelewa.. Tulia hapo hapo nichukue dikshenari yangu.
 
hahahaaaa before you do that.... unajua mie nimetoka kwa dadiiiiii Excel the King, ni mtoto wa kishua... nadhani waelewa namaanisha nini!!!

mamii ongea kama mfalme mwenyewe..! akikuzingua, nadhani unakumbuka nilikupa nini! pesa, simu na bastola! so unajua kazi yake vyema kabisa!
 
mamii ongea kama mfalme mwenyewe..! akikuzingua, nadhani unakumbuka nilikupa nini! pesa, simu na bastola! so unajua kazi yake vyema kabisa!

Naomba mruhusu twende piem tafadhali.
 
mwanangu hivi kweli mimi wa kukufanyia hivyo?

come on my child, i am giving you freedom... trust me, mi nna pesa zangu binafsi! hata ww walitambua hilo!

uongo?

hahaha kweli dadiiiiiii, let me give a hug before l go....
 
hahaha kweli dadiiiiiii, let me give a hug before l go....

mwanangu huyu anataka kukimbilia pm.. nilitaka umchane hapa hapa.. sasa amua wewe mwanangu, pm au hapa!

nisikuamulie chochote.. sawa mamii!
 
mamii ongea kama mfalme mwenyewe..! akikuzingua, nadhani unakumbuka nilikupa nini! pesa, simu na bastola! so unajua kazi yake vyema kabisa!

Dadiiiiiii... niaminie plishhhhhh... siwez aibisha ufalme wako....
 
khaaaaaaaaa Excel wamuona huyu window umempa mchongo na bado anataka kunigeukia aiseeeee
malikia mm nakwaminia! najua nikikuacha na mji usiku, unaweza kuulinda!

kama ulimpiga ngalikinja, huyu Window7 anakushinda nini sasa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom