Mis you my.. Njoo pm tubonge. Te amo ma sihnyoritah.
oh!yes we do Excel miss you dears mmwwaaah!
hahahaaa!! hivi ukoo na nani siku hizi lava lava?
usiwe na wasiwasi! mi nina uwezo wa kumchomoa ndani ya kundi la simba wakali na akaja!Aisee umemuita kabla sijajiweka fiti. Enewei ngoja niandae zawadi yake mapema.
J.lee kazaa na Molembe? aisee mbona sielewi?Anajicho huyo mtoto kama linataka kudondoka. Nampenda sana sema haishi michepuko. Kuna huyu Molembe ndio kabisa kazaa nae mtoto sijui jamaa nae kapigwa changa la mcho.????!!! Huhuhuu.
Ndio hivyo tena wanaitana mama na baba Gati. Nina wasiwasi huyu jamaa ndiye alinivunjia ndoa.usiwe na wasiwasi! mi nina uwezo wa kumchomoa ndani ya kundi la simba wakali na akaja!