Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
sanaaaaa tu mpaka nione kiwango cha ziro kinaongezeka
zinakuwa zile nyekundu zileee....apo macho yanakuwaje lool
sanaaaaa tu mpaka nione kiwango cha ziro kinaongezeka
Ngoja nitakujaribu pm nione
Kuna nini hapa, hebu nipe muhtasari chapchap sana.
zinakuwa zile nyekundu zileee....apo macho yanakuwaje lool
babu sema n dogo huyo kaingia line mwenyewe aafu ki2 ah!kibichii!under 20!
hahaha njo nkuondoe wac wac hunie
nipo mpnz wng! nmekumithi diharest
sasa we nae unazingua bana!!!
hivi unatambua ni kiasi gani nimeandaa shavu langu mpaka sasa?
hebu ruka huku tumalize usiku!
yanakuwa makavu tu labda zifikie kiwango kinachoweza kulipa deni la taifa ninaweza nikalegeza macho kwa faida ya tanzania nzima
masikhara haya, ila nimegundua apa uantuzuga wewe sio mtu wa kuoenda minoti kiviile, una vitu vyako vingine unaangalia, trilioni 27 mchezo? Imagine kila kiumbe mtanzania anadaiwa laki 6 na soon zinafika milioni...
ha!ha!haa kizuri nala na babu kuubal basi n wewe ah!
nakuogopa! Segere kani2ma nikuogope