MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

eeeeh maana mi sing'ati kucha nakutazama macho makavuuuuuuuuu
miss neddy bana sio vizuri! hata kama tuna confidence ya face to face, sio kila kitu turopoke!

kuna baadhi ya maneno inabidi yaingie mdogo mdogo!! yani hadi unasinzia mwenyewe!!

come here miss!!
 
Last edited by a moderator:
miss neddy bana sio vizuri! hata kama tuna confidence ya face to face, sio kila kitu turopoke!

kuna baadhi ya maneno inabidi yaingie mdogo mdogo!! yani hadi unasinzia mwenyewe!!

come here miss!!

hahahahahahaha unazani nasinziaga labda upepo wa msimbazi unipulize pulize naliwazika
 
Last edited by a moderator:
hahaha haya miss nedy msemaji/meneja/ katibu wng nakuona juhudi zako maa ntakuongeza mshahara

yap we ukipewa hela na vibabu unaleta nikuwekeee sawa mtoto mzuri eeeeh sema tawile
 
Kuna nini hapa, hebu nipe muhtasari chapchap sana.

babu babuaa Asprin dogo kazimika na wewe bhana nkaona si mbaya nkakutonya kikongwe wangu kizuri kula na babuyo haya ushndwe mwnyw.
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu

hapa tunaangalia fursa wewe kama una kasi sana nenda katutoe kimasomaso olimpic
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu

labda anapenda mechi za taratibu? Jipu lenyewe linachukua muda kuiva,,,,,,,hahaha Asprin njoo pande hii
 
Last edited by a moderator:
..safi sana naona mango g unalishika jukwaa vyema, kabla ya mpambano wenyewe kuanza we endelea kupasha misuli na hawa vijana wakati mabazazi yenyewe yako chumba cha kubadili nguo,na mwalimu wao anawapa mbinu za mchezo, na kwa kawaida uwanjani wanaingia siku inapoanza 0001(12:01 am), wakati unaendelea kufanya nao zoezi ngoja nikutabulishe kwa hawa ndugu wafanyakazi wa uwanja alphonce.NET-ni afisa mauzo yeye hushughurika na uuzaji wa tiketi,kidogo anazo ingawa anachakachua sana, Polisi jamii-huyu kazi yake ni kuzuia vurugu hasa pale itapotokea kuna upendeleo umefanyika, Jipu-huyu ndo hata usimsogelee manake maneno yake yanauma hata kuliko jina lake, tafadhari huyu Jipu mwogope ka kimeta, Prince Akeem-huyu ni mwokota mpira na mara nyingi hujishughurisha na usafi wa uwanja, Window7-anahusika na urushaji wa matangazo ya moja kwa moja studio namba 045, Shamkware-kiongozi wa kikundi cha ngoma na ushangiliaji..

Kikosi kimekamilika huyu Serengeti girl hawezi kutoka
 
hahahahahahaha unazani nasinziaga labda upepo wa msimbazi unipulize pulize naliwazika

hivi umeona kile kiua nilichokutumia??

afu huu ndo muda wa kutoana baridi miss!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom