Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
babu sema n dogo huyo kaingia line mwenyewe aafu ki2 ah!kibichii!under 20!
we mpe moyo mwenzio utamfanya augue presha
babu sema n dogo huyo kaingia line mwenyewe aafu ki2 ah!kibichii!under 20!
usiniogope jamani hao ni wivu tu ndo maana wananikandia sawa mtoto mzuri achana na wazee wa east africa hao bado wanawaza mafao yao
hata me sikuelewi. Bastola itahusika.. Ooohoo
sasa hapo tutakakosa wote na katoto katachukuliwa na wengine
window7? lol cmtaki cmtaki cmtaki!
we mpe moyo mwenzio utamfanya augue presha
co kwamba mm cmtaki babu yako! nisichotaka ni kukaa eda hv karibuni kwnza huyo babu yako modo kavaa na nan msuli aje kunvalia mie?
huuuuu makubwa haya mpnz