J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
hu!hu!hu!hu!hu nlikua cjui babu jaman
ndo hvyo mwali wangu we.
hu!hu!hu!hu!hu nlikua cjui babu jaman
ndo hvyo mwali wangu we.
Kuna nini hapa, hebu nipe muhtasari chapchap sana.
heee ucmuite bna mi cmpend tenah
mweeh. naona aibu mwezio.
labda nikupigie kwenye simu:A S wink::A S wink::wink2::hippie:
under 20 kaingia line babu usilaze dam
ha!ha!haa wivuuu!shaibu langu linabebwa babu Asprin nasema kwa bibi haiwezekani tukose wote loh!
Yuko kidato/darasa la ngapi? Jela si pahala pazuri sana.
hahaha njo nkuondoe wac wac hunie
hahahahahahahaha kwanini Excel
kuna kitu nakiona! we ngoja tu nifanye ukaguzi..!
afu miss neddy! hebu njoo chemba kwanza tunong'onezane..!!