MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

hahahahaaa!!! mkuu, huyu dem bila shaka ni nshomile!

nazidi kushtuka tu kila wakati!!

akijichanganya mi nakula tu bana, kwani nini!!

Anaweza kua nshomile eeh?? Ngoja nimuite Jipu akamfanyie uchunguzi. Lakini bado nakapenda tu. Si unajua tena under 20 wasiku hizi ni wakubwa wenzetu
 
Last edited by a moderator:
mhh. naogopa PM wanasema ni Tabia mbaya diha.
Nikisikia SAuti yako naweza kupata presha
 
kuchapiwa siri ya ndani shemeji Window 7 usogope wala nini.

Kuchapiwa ukusikie kwa jirani shemeji. Kwa mtu kama mimi shortcut itahusika tuu.
 
Last edited by a moderator:
Anaweza kua nshomile eeh?? Ngoja nimuite Jipu akamfanyie uchunguzi. Lakini bado nakapenda tu. Si unajua tena under 20 wasiku hizi ni wakubwa wenzetu

nshomile mwenyewe! ushantibua, nlikua nafkria kukupa nafac lakin bac tena
 
Last edited by a moderator:
mango g, hebu jaribu kufikiria mtoto mzuri,

hapa kati ya Window7, Jipu, Prince Akeem na wengineo wanaokurukia rukia kwa nyuma kama tai, hamna mwenye neno na wewe zaidi ya kutaka kuchafua night dress yako!!

kaa chini ufikirie, mimi ndie mwanaume pekee niliekuwa branded for a romantic lady like you!!
 
Last edited by a moderator:
af we aliekutambulisha huyo ni shemej yako nan? mmh umbea na kimbele mbele vtakuua

kufa sifi cha moto ntakiona! sema hujaelewa 2 shoga huyo shemeji yangu kwa ndugu yangu ulidhan kwa ajil yako aaka bibi we pumzika 2.
 
ha ha ha ha kiongozi mwenye kisu kikali ndo atakula nyama

Pochi itaongea. We subiri the coming Jf party utakaponiona na under 20 ndio utaniheshimu.
 
Ujio wa under 20 mango g umeleta competition kubwa sana kwa vijana hapa MMU. Kilichonistua hata mkongwe kama Asprin nae anakanyatia haka ka binti kenye swarga za ha. Yaani dia kanaita diha.. mwe!!

Hawa hapa wametanagaza nia mpaka sasa..

alphonce.NET


lilie
NDI

victoria
wa happy

Shamkware


Jipu


Polisi jamii
nae ameshindwa kuficha hisia zake kwa under 20

Dea
ta ndio kabisa mpaka chozi linamtoka kwa under 20.

Bila kumsahau
Prince Akeem nae katoroka Zamunda kafuata under 20 bongo.

Nimesikitika kuona mdogo wangu Excel amekua mshauri badala yakuchukua fursa..

Heshima kwa Mchungaji Eiyer , Swts na miss neddy kwakumpa ushauri mwema lakini tafadhali hapa kwenye bet mmuachie mwenyewe achague papaa lakumlea.. Si unajua Jf party second version iko arround.

Ninachokuomba dia mango g njoo ututajie nani atakufaa kati yetu..

Usisahau hata mimi Window7 nimetangaza nia..


haaahaahaa duuh, binti kazua utratraa balaa, ni hiyo under 20 au kuna kitu kinafikiriwa lol.!
 
kufa sifi cha moto ntakiona! sema hujaelewa 2 shoga huyo shemeji yangu kwa ndugu yangu ulidhan kwa ajil yako aaka bibi we pumzika 2.

Shemeji hebu jaribu kuongea nae huyu binti mchanga jamani. Mbona ana hasira siku hizi?
 
hahahahahaha napenda nini .
yaani ukiweza kuwalipia ndugu zangu wa kitanzania hizo kilo sita sita wanazodaiwa
we ndo utakuwa mwanaume wa shoka .
nitakupa moyo wangu mchana kweupeeeeeeeeeee

bado nakutaka ujue!!

kwanini hutaki kuachia?
 
haaahaahaa duuh, binti kazua utratraa balaa, ni hiyo under 20 au kuna kitu kinafikiriwa lol.!

kwani annito wewe ni over 25?

karibu kwenye mtikisiko wa mapenzi!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom