yaani we mtoto nkikushika utataja besidei ya bibi ako nakwambia.
una mwanamkee una mwanawaka!We kalinde ndoa yako na Angelicious acha wake za watu.
thanks jaman ujue the day unaniacha nliwapa shida sana Excel n Angelicious nlizimia almost mara 3 nkalazwa n all that bt thanks to baba paroko Kaizer aliniombea nkawa poa so endelea n life lako let us be friends nimeokoka nw ubazazi tena basi.Ha!ha!ha!ha. Poule mamaa wa fursa
thanks jaman ujue the day unaniacha nliwapa shida sana Excel n Angelicious nlizimia almost mara 3 nkalazwa n all that bt thanks to baba paroko Kaizer aliniombea nkawa poa so endelea n life lako let us be friends nimeokoka nw ubazazi tena basi.
ntalifanyia kaz hlo kuna thread nimeiona CC inamaelekezo ya hayo makitu hata kwa JF mobile so ntadeal na hilo usihofu.hata hako kanyota baada ya pm hukaoni?
asante ila ntamkomesha subiri tu.pole sana mamii... mi natafuta maisha yangu mwenyewe huku..
asante ila ntamkomesha subiri tu.
sikukomeshi wewe bhana ila huyo zilipendwa Window7!!ngoja nikuitie we wifi Angelicious unaitwa na Excel huku mbona hvyo ah!mnikomeshe mara ngapi j.lee, sina ubaya na wewe besti, kwanin mmemtorosha Angelicious... na mkae nae huko huko! simtaki tena!