mango g
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 517
- 215
Hapa kuna under 20 anagombaniwa. But napenda kukuarifu mtoto yuko kwangu kwa sasa.
kwanza una mitamaa jamvi la wagen ww! mana nmekuona hukooo unavyomkaribisha mgen pm! sikutaki diha
Hapa kuna under 20 anagombaniwa. But napenda kukuarifu mtoto yuko kwangu kwa sasa.
diha njoo kwangu. mimi domo zege lakin nakupenda mpendhi.
si unajua mjini msingi kiuno babe
Punguza hasira diha si unajua kesho kazini. Utanipa stress.
Safi sana diha. Kumbe upendo bado upo. Naomba uache pm yako wazi nitakua hapo soon.
Tengua kauli kijana
majipuuuuuu
huu uzi ufungwe...!