Kwa nini?
eh!ndo yale yale ya maama bhoke rara nikurare!!!ha!ha!ha!haaa
sasa hiki ni kitoto ghani kisichoerewa!!?
imetongozwa weeeeee bado kinadengua!!
kiseme sasa kinataka nini tuelewe!!
arrrrraaaah!!
enheee...! was looking for the first quote..
Bet imemtoa nduki.. Jaribu kumfariji
Second quote hiyo hujanijibu kwa nini ifungwe?
ha!ha!haaa! bhabha bhoke taratibhu sasa Mura eh!katoto katakimbia omera eh!
Ha!ha!ha!ha.. Safi sana kijana good promo hii natumai atakuja tu kwa mashart nafuu
kwanza kabisa Angelicious.. nichukue nafasi hii adimu kukuandalia maji maalum.. maji vugu vugu kabisa..
maji yenye virutubisho vyote... maji laini mama.. maji haya..!! naomba tafadhali ukaoge!!!!
goodmorning Angelicious!!
goodmorning Excel walah!! haya mahaba niue sijawahi yapata ingawa natokea kule mahaba hayo yalipoanza
na wewe pia ni kule kule nini? haya ahsante, wakati naoga naamini utakuwa unaandaa chai tena ya chai ya kike
MIE tena!! afu usiseme chai..! sema chai ya tangawizi bana!!
afu kabla hujaenda oga, nakubeba mgongoni huyoo! nakuzungusha kwanza, kama awaida uch kuch dk 2, nakuunja na taulo, nakupeleka bafuni kwa mikono miwili!
nakusugua mgongo mie.. sina mda na maneno ya watu!!! ndege wangu, kwanini waniulie wengine? ukimaliza kuoga, uniambie nije nikufute maji bebi!
afta zea, nakubeba mpaka chumbani.. ! chai twanywea on the bedi! mahaba niue!