MMU EXCLUSIVE!!!!!!!! Ciello Kufunguka on her Dating Life style and Journey to Become a Wife!!!!!!!

safi sana Ciello...!

binafsi kuna vitu nimejifunza kupitia huu mjadala...!lara1 tunaomba topic ya wiki ijayo
 
I like the liberal Attitude!!!!!!!! Miss Independent! Naomba radhi kwa kukuita Dekadeka Untd! Kweli wewe you are something indeed! I spiced up my life experiences!!!!!!! Umetishaaaaaaaaa! Kwa kweli umeniacha SPEECHLESS!!!!!!!!!!
 
Tokana na utandawazi wa siku hizi imekuwa kawaida watu kuwasiliana wakiwa hawajuani (eg PM za JF) na kufikia hata kuwa wapenzi kabla ya kuonana kufikia hata kupanga mipago ya siku tukioanana tuna-do! Je ulisha wahi kuwa kwenye wakati kama huu na experience ikoje?
 
Natamani next week Lara1 afanyiwe interview na PakaJimmy!! :happy:. Its just a wish though!!
 
Tokana na utandawazi wa siku hizi imekuwa kawaida watu kuwasiliana wakiwa hawajuani (eg PM za JF) na kufikia hata kuwa wapenzi kabla ya kuonana kufikia hata kupanga mipago ya siku tukioanana tuna-do! Je ulisha wahi kuwa kwenye wakati kama huu na experience ikoje?

Hahahaaaaaa!

Ndo unatest zali au?
 
Natamani next week Lara1 afanyiwe interview na PakaJimmy!! :happy:. Its just a wish though!!

Hahahhaaaaaa! Your wish may come true, manake hadi mda huu, sina guest aliecomfirm next week! Paka jimmy ataninasa vibao wajameni!!!!!!! LOL!
 
hii exclusive ya leo duuh, lawama kwa host y huumuulizi mtu ratiba yake jameni ona sasa ciello anawaza pepa now

Tuliza ball wewe, usitake kujifanya unamhurumia sanaaaaa! Jembe lile, huku kakava na kesho anapiga mambo kama kawa, coz pepa ya kesho ndo kaenda kuisolve jioni hiii!

Huruma zote hizi huja PM tu kweliii? Napata mashaka!
 
kaswali kangu bishosti wewe Ciello kama mtu akikomaa analalamika anata 0713... utakataa kweli maana unaonekana unafikiria sana swali linalofuata ndio maana utaki kufunguka zaidi gal..
 
Last edited by a moderator:
mmmhhhh amazing indeed! tumekupata Ciello!
cacico wala usimpake mafuta kwa mgongo wa kyupa, Ciello amekuwa mnyimi saaaaaana, sijui anaogopa nini kufunguka!!?
Bado wewe, siku yako ikifika nitasubiri swali moja tu, la kapiriensi yako kwenye mambo ya kukamata mic... unavyochana mistari...:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Nyc Ciello, Nkugambile.............................................................?????????????????
 
Last edited by a moderator:
cacico wala usimpake mafuta kwa mgongo wa kyupa, Ciello amekuwa mnyimi saaaaaana, sijui anaogopa nini kufunguka!!?
Bado wewe, siku yako ikifika nitasubiri swali moja tu, la kapiriensi yako kwenye mambo ya kukamata mic... unavyochana mistari...:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Mwita Maranya una nini nami?? nitakuwa bubu ghafla! mzima wewe??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom