Hahahahahaha Ciello 80% ya wanadamu wanafanya mambo yenye utata ndani yake kwa kusudi!
Hakuna lolote walaghai tu... afu na wewe cku husomeki.. upo kama staki natakai
Afu wewe DC,
ngoja nipate show,nitakumwagiaje siri zako na yule Mama Amina wa kwa Mzee Ufudu.
All i do babu is make them quetions interesting, majibu ya mgeni yako nje ya uwezo wangu! I cant put words in her mouth!
Show ya wiki hii Ijayo ni KIBOKO!!!!!!!! True Life Comfession!!!!!! Sisemi mengi!
Rutta stop harrasing my client/guest nitchukua court order sasa hivi kwa Invisible usiruhusiwe kum quote!!!!!! Katerero kashaikataaaaaaaaa!
Mwwache bana ananipa list ya Pm, kuna kifutajasho cha uhost, i have to get the inside storry!!!
Koma wewe katoto !
Ndiyo matatizo ya kuruhusu under age kwenye vikao vya watu wazima!
Zion Daughter,Nina hofu ya kukupoteza kwenye kambi.. na shahidi amejitokeza Madam B
Naona hapa atabaki dady yangu tu MM ndo mwaminifu
Siku hyo ndo utajua.
Yani bora ummwambie daddy wako asichanganyike na huyu mzee,
atampoteza dadio.
hongera kwa kufunguka vizuri Ciello ,,,ila watu utamu wote ulikuwa kwenye hilo swali.Hahahah ngoja nifikirie....mbona maswal yako mengi kuna nn kwenye swali hilo?
bado hatujapata fursa ya kufanyiwa interview bibie. funguka tu ndo utamu wenyewe wa exclusive interview ,kuwa hayo majibu ni yako tu hawezi kuwa nayo mwingine.Mnapenda mzijue nasties zangu...mbona zenu hamsemi?
ha ha ha ha ha! unamuogopa nani ,babu Asprin nini?Hahahah hili swali gumu bana...uliza jingine
aaaaaaha!!!! haiwezekani bana............Hahah watu wanapenda kunisoma 2 nikiwapa ofa ya kuonana fac 2 fac wanaingia mitini lol
hapo kwenye upeo sifahamu kwasababu hatujuani ,ila hapo kwenye physical appearance ulikuwa unatumia taswira yangu kujibu hilo swali nini?kweli ndiyo...ukitoa one nit stands lakini...Vigezo ni vilevile wanavyotumia wasichana wengi , kama character ya mhusika,physical features na upeo wa kungamua ishu mbalimbali za maisha . binafsi navutiwa na mwanaume anayenizidi upeo au ambaye tuko on same level, bt most anayenizidi upeo kwani hunipa challenge ya kujiongeza na mie kiasi flani, then physically awe mwembamba, mrefu, maji ya kunde na wote nilowahi wadate walikuwa na sifa hizo mengine yatafwata badaye
rafiki hapa upo mstari mmoja na mimi, haya huwa hayaelezeki kabisa kwa maneno bwana.....Dah wajua siwezi sema kwa maandishi linafaa kwa praktiko....