naona brother unapoteza muda kujibizana na kichaa. Maana kitendo cha yeye kupost kwenye forum hii tayari anajisema mwenyewe.Kama hujui kila kitu ungejua ujinga ni kawaida. Vitu vipo wazi Kwa maoni yako si lazima iwe hivyo.
Bomu linatupiwa kwa wahusika halitupwi nje ya wahusika,, Ujinga wako mkubwa saana
Dah....ukipata muda pitia na kule kwenye kilimo na ufugajiSina cha kuongezea tena hapo,
Naenda Jamii Intelligence, ntapitia the Palace, halafu nitapitiliza Jukwaa la Wakubwa
TGIF
Mic you
Mzima mama
Mungu anasaidia niko njema.
Abee umeniita 😀😀😀haya tusio na akili tukutane hapa
njoo tutoe stress zetu hapa tusio na akiliAbee umeniita
Kwa kweli best nawezaje kuwa jukwaa la intelligence unasoma kitu January hadi February hakijaisha ukienda siasa usipo kuwa makini unaondoka na ban Kuna viumbe wanatia hasira mno.njoo tutoe stress zetu hapa tusio na akili
Uko unasoma tu unapita ili kujua ulimwengu unaenda wapKwa kweli best nawezaje kuwa jukwaa la intelligence unasoma kitu January hadi February hakijaisha ukienda siasa usipo kuwa makini unaondoka na ban Kuna viumbe wanatia hasira mno.