Ukiota ndoto unajisaidia, hakikisha haukunyi...tehteehhSina cha kuongezea tena hapo,
Naenda Jamii Intelligence, ntapitia the Palace, halafu nitapitiliza Jukwaa la Wakubwa
TGIF
Kwahio ulitaka kila mtu akubaliane na hiki ulichoandika? Kila binadamu ana ujinga wake labda wewe ndio binadamu unaejua kila kitu.Cha kawaida kwako, Sisi wengine tumeukataa, Sababu ya wewe kushupaa naitafuta siioni
Kwahio ulitaka kila mtu akubaliane na hiki ulichoandika? Kila binadamu ana ujinga wake labda wewe ndio binadamu unaejua kila kitu.
Kama hujui kila kitu ungejua ujinga ni kawaida. Vitu vipo wazi Kwa maoni yako si lazima iwe hivyo.Mi sijataka hivo, wala haiwezi kua hivo. Mi nimesema nilichokisema slow slow unapinga vitu ambayo vipo wazi, Mi sijui kila kitu hayo maneno unayatoa wapi wewe
Hahahahah eti nashangaaga sana unakuta kimtu kinajisema eti mim nna akili sijui wenye akili wakitoka watatokaSiku nzima niumize kichwa kutafuta hela na mambo mengine ya maana,halafu mwisho wa siku nije kuoneshana kuwa nina akili na watu nisiowajua? Mwenye akili kutwa kushinda unabishania ulaji WA watu? Kushindana ku-quote vitabu vya watu au kusimuliana news za CNN,sky?
Kilaza@workSina cha kuongezea tena hapo,
Naenda Jamii Intelligence, ntapitia the Palace, halafu nitapitiliza Jukwaa la Wakubwa
TGIF