ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,385
Habari za usiku wapenzi na wadau wote wa MMU,
Kiukweli tu humu kuna miibuko ni ya mda sana juu ya kuilalamikia jinsia flani hasa KE mtu kaombwa 10000 tu atakuja kuanzisha uzi kuwa wanawake kwa mizinga bhana mbaya zaidi unajumuisha ni wote.
Mtu ameona mdada kajipodoa sana na mawigi juu moja kwa moja ataanzisha uzi kuwa wanawake mda mwingi ni wa kwenye kioo.
Mtu amesalitiwa na mpenziwe atakuja huku kulalamika wanawake sio waaminifu ni malaya mbaya zaidi anawajumuisha ni wote.
Mtu kamvua pichu mke wa mtu kwa tamaa za mwili alafu atapost wake za watu hasa walio ndoani hujirahisisha tena bure napo mbaya zaidi anajumuisha na mengineyo mengi juu ya kumlaumu hasa mwanamke niwaulize tu mnapo kuja kupost humu malalamiko wengine hadi wanatusi jinsia ya kike mbaya zaidi huwa wanajumuisha kana kwamba ni wote ndio wapo hivo.
Je hamjawahi kufikiria kuwa hata mama/ dada/shangazi /mamdogo zenu nao wanawekwa kwenye makundi hayo mabaya mnayoyapost humu kwa kugenerelize? Punguzeni kuikashifu jinsia ya KE mkumbuke hiyo ndiyo inayowazaaa hiyohiyo ndiyo inayo wafanya muitwe baba wa Tafa la sasa na kesho.
Kiukweli tu humu kuna miibuko ni ya mda sana juu ya kuilalamikia jinsia flani hasa KE mtu kaombwa 10000 tu atakuja kuanzisha uzi kuwa wanawake kwa mizinga bhana mbaya zaidi unajumuisha ni wote.
Mtu ameona mdada kajipodoa sana na mawigi juu moja kwa moja ataanzisha uzi kuwa wanawake mda mwingi ni wa kwenye kioo.
Mtu amesalitiwa na mpenziwe atakuja huku kulalamika wanawake sio waaminifu ni malaya mbaya zaidi anawajumuisha ni wote.
Mtu kamvua pichu mke wa mtu kwa tamaa za mwili alafu atapost wake za watu hasa walio ndoani hujirahisisha tena bure napo mbaya zaidi anajumuisha na mengineyo mengi juu ya kumlaumu hasa mwanamke niwaulize tu mnapo kuja kupost humu malalamiko wengine hadi wanatusi jinsia ya kike mbaya zaidi huwa wanajumuisha kana kwamba ni wote ndio wapo hivo.
Je hamjawahi kufikiria kuwa hata mama/ dada/shangazi /mamdogo zenu nao wanawekwa kwenye makundi hayo mabaya mnayoyapost humu kwa kugenerelize? Punguzeni kuikashifu jinsia ya KE mkumbuke hiyo ndiyo inayowazaaa hiyohiyo ndiyo inayo wafanya muitwe baba wa Tafa la sasa na kesho.