Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Anaropoka sana. Jamaa anapenda sana umaarufu. Anapenda sana kuongea na kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart. Na kuna machawa wake wanamwita Nabii.😁Lema ameshakuwa liability kwa CHADEMA. Wasipomfunga break mapema ataleta shida kwa chama
Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Lema na usmart wapi na wapi?yule si Kama msukuma na lusinde tu 😅Anaropoka sana. Jamaa anapenda sana umaarufu. Anapenda sana kuongea na kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart. Na kuna machawa wake wanamwita Nabii.😁
Kama Mhe Lema amepewa kazi ya kuiua chadema, sasa kwenu ccm si ndo furaha kwenu ??? Mnalalamika nn wkt anawarahisishia kz ??
Ukiona mpinzani wako anadhoofika kwa kukosa chakula lazima uishiwe pozi maana atakufa uwaambieje watu umemzidi kwa ushindani wakati njaa ilikusaidia!!!!!
Unampa chakula awe na nguvu muendelee.
Hivi tangu mtabili kwamba chadema itakufa hamjachoka tu. Tangu 2005 mnatabili tu lakini utabili wenu unakuwa vice versa i.e chadema inazidi kupaa. Chokeni basiUkimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Sasa si ndiyo vizuri kwenu? Kuna shida gani hapo?Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Hapo pa NabiiAnaropoka sana. Jamaa anapenda sana umaarufu. Anapenda sana kuongea na kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart. Na kuna machawa wake wanamwita Nabii.
AiseeNa kuna machawa wake wanamwita Nabii.
Eti eeeeh.... Mataga maana yake nini?Huoni itakuwa furaha kubwa kwako wewe mataga??
Hudhunika❌Lema anaiua Chadema, lakini wanaohudhunika ni CCM.
LEMA anakosesha kura wagombea wa wa Chadema lakini wapiga kura wa CCM ndio wanalalamika kwa tabia hiyo ya Lema.
Hakika mwaka huu 2023 umejaa maajabu haijapata kutokea, ila wenye akili wameelewa.
Tuhangaikie utekelezaji wa ilani yetu ya uchaguzi.Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Tuhangaikie utekelezaji wa ilani yetu ya uchaguzi.
CHADEMA waachie wenyewe wanaelewana hata tuwavuruge vipi ndo kwanza tunawaimarisha.
Hali mbaya.Wameshalegea. Ilani yetu imekamilika. Hatuna shida. Mama anaupiga mwingi