Mussa Mussa
Senior Member
- Jan 10, 2012
- 138
- 42
Ndugu zangu binfsi ninaona tunakoelekea ni either aaibike lowasa au kikwete.
Kwa nini?
Kwa kuwa tumeona wazi kwamba kunakundi linalomsapoti Lowasa tena linaonekana ni kubwa sana. Ndiyo maana leo Lowasa amebatizwa jina mpya la Waziri Mkuu Mstaafu huko zanzibar. Hao wanaombatiza Lowasa hilo jina mpya ni dhahiri kuwa ni mtandao wake mwenyewe na tunakoelekea kama kikweta hatakuwa macho basi huyu jamaa atachukua nchi na ninavyomfahamu alivyo na maamuzi magumu kikwete na familia yake wajiandae kuwajibishwa kulingana na yeye kama raisi kufumbia macho ufisadi kwa kuwa yeye hatakuwa fisadi tena bali ni RAIS. Rejea kushindwa kwa kikwete kumwajibisha Lowasi kikao cha NEC kilichopita ni dhahiri kwamba kwa sasa kikwete hana mpya kwa lowasa kwa kuwa akijaribu kufanya vinginevyo atapotea kwenye dira hata kabla ya 2015, yaani uchaguzi wa chama ujao mwishoni mwa mwaka huu kikwete anaweza akapata umwenyekiti wa tawi kama atacheza na Lowasa.
Kwenu wapiga kura:
CCM mnaijua kwa kuwa imetuongoza toka uhuru na sasa tumeadhimisha miaka hamsini. Mgombea wa CCM mwaka 2015 ni Lowasa au Swahiba wake wa karibu atakaye mrudishia uwaziri mkuu tena Lowasa. Ni juu yenu kuchambua kama chama kilichotuleta hapa tulipo sasa kinastahili kuendelea kutuongoza tena mwaka 2015 kisa wanatwambia tukichagua wapinzani watatuletea vita nnchini. Lakini kikwete mwenyewa alitwambia ukiambiwa jambo changanya na zako.
Salamu kwa kikwete
Akiwa lowasa RAIS na hii katiba unayoitengeneza jiandae kwenda mahakamani 2016
Mungu ibariki TZ na Afrika kwa ujumla wake.
Kwa nini?
Kwa kuwa tumeona wazi kwamba kunakundi linalomsapoti Lowasa tena linaonekana ni kubwa sana. Ndiyo maana leo Lowasa amebatizwa jina mpya la Waziri Mkuu Mstaafu huko zanzibar. Hao wanaombatiza Lowasa hilo jina mpya ni dhahiri kuwa ni mtandao wake mwenyewe na tunakoelekea kama kikweta hatakuwa macho basi huyu jamaa atachukua nchi na ninavyomfahamu alivyo na maamuzi magumu kikwete na familia yake wajiandae kuwajibishwa kulingana na yeye kama raisi kufumbia macho ufisadi kwa kuwa yeye hatakuwa fisadi tena bali ni RAIS. Rejea kushindwa kwa kikwete kumwajibisha Lowasi kikao cha NEC kilichopita ni dhahiri kwamba kwa sasa kikwete hana mpya kwa lowasa kwa kuwa akijaribu kufanya vinginevyo atapotea kwenye dira hata kabla ya 2015, yaani uchaguzi wa chama ujao mwishoni mwa mwaka huu kikwete anaweza akapata umwenyekiti wa tawi kama atacheza na Lowasa.
Kwenu wapiga kura:
CCM mnaijua kwa kuwa imetuongoza toka uhuru na sasa tumeadhimisha miaka hamsini. Mgombea wa CCM mwaka 2015 ni Lowasa au Swahiba wake wa karibu atakaye mrudishia uwaziri mkuu tena Lowasa. Ni juu yenu kuchambua kama chama kilichotuleta hapa tulipo sasa kinastahili kuendelea kutuongoza tena mwaka 2015 kisa wanatwambia tukichagua wapinzani watatuletea vita nnchini. Lakini kikwete mwenyewa alitwambia ukiambiwa jambo changanya na zako.
Salamu kwa kikwete
Akiwa lowasa RAIS na hii katiba unayoitengeneza jiandae kwenda mahakamani 2016
Mungu ibariki TZ na Afrika kwa ujumla wake.