JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Produza Abbah ameeleza kuhusu taarifa za kifo cha mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya gari iliyotokea jana Novemba 11, 2023 kwa gari lililokuwa limeibeba crew ya Msanii Chino kugongana uso kwa uso na Lori la mafuta.
Abbah anaeleza aliyefariki ni Nabeel, Kaka wa Dancer @poshboy_yd ambaye yeye ndiye alikuwa Dereva wa gari hilo na alifariki wakiwa njiani kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu zaidi!
Chanzo: Clouds FM
Abbah anaeleza aliyefariki ni Nabeel, Kaka wa Dancer @poshboy_yd ambaye yeye ndiye alikuwa Dereva wa gari hilo na alifariki wakiwa njiani kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu zaidi!
Chanzo: Clouds FM