masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,643
- 14,642
Mwalimu aliwaonya hamkumsikilizaHapa mkweere asingekenuakenua hata kidogo!
Unajua mkweere alitutapeli watz kwa staili ya kuchekacheka tukampa nchi tukiamini kuwa mambo shwari, dah mambo yanavyokwenda tumeligundua hilo!!