masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mwalimu aliwaonya hamkumsikilizaHapa mkweere asingekenuakenua hata kidogo!
Unajua mkweere alitutapeli watz kwa staili ya kuchekacheka tukampa nchi tukiamini kuwa mambo shwari, dah mambo yanavyokwenda tumeligundua hilo!!