Ahahahahaah!! Jamaa anatisha kwa kweli...nadhani ni kati ya watu wachache weusi sana duniani......anaweza kuwa mshindi katika GUINESS world book of record..kwa kuwa mweusi
Ahahahahaah!! Jamaa anatisha kwa kweli...
nadhani ni kati ya watu wachache weusi sana duniani......anaweza kuwa mshindi katika GUINESS world book of record..kwa kuwa mweusi
Nasikia huko tanzania hata wanaune wanajichubua kwa kutumia mafuta ya transfoma, ni kweli ?!sijui tz kama kuna watu weusi kama hawa!ebu check hizo lips zilivyo
Hizo ndio sura za kazi, sio mjeshi unakuwa na sura kama ya demu. Tukuti ali gwa mbombo ingafu fijo.Hivi kwa nini huwa mna attach "thumbnail" badala ya picha kamili? namna hii: