Mmmmmh..!

Daffi Jr

JF-Expert Member
Jun 25, 2011
3,825
906
Huyu ndo mlinzi wa Rais Sava Kiir!!Mchukulie ndo angekuwa wa Kikwete,sijui kama tabasamu lingekuwepo
 

Attachments

  • 126495-south-sudan-7-of-10.jpg
    126495-south-sudan-7-of-10.jpg
    70.8 KB · Views: 861
Hapa mkweere asingekenuakenua hata kidogo!
Unajua mkweere alitutapeli watz kwa staili ya kuchekacheka tukampa nchi tukiamini kuwa mambo shwari, dah mambo yanavyokwenda tumeligundua hilo!!
 
nadhani ni kati ya watu wachache weusi sana duniani......anaweza kuwa mshindi katika GUINESS world book of record..kwa kuwa mweusi
 
Ahahahahaah!! Jamaa anatisha kwa kweli...


Siku Rais Kiir atakapotembela Tanzania halafu awe ameambatana na huyo mlinzi wake, masoja wakwetu wanaweza kumkimbia! Itababidi huyo jamaa awe anakaa kwenye sanduku maalu( cage) kama tiga!
 
Kwa Kikwete,,,,jamaa kama huyu asingepata kabisaaaa chance kama hiyo! Ila watu kama hawa ni wazuri sana sababu wanakuwa na a very strong commitment na kazi yao!
 
Sijui tz kama kuna watu weusi kama hawa!ebu check hizo lips zilivyo
 
Kwa S. Sudan, huyu jamaa ni cheupe dawa kabisa. Niliwaona wadinka kule Brooks, AB, duh!!! yaani mpaka kucha ni nyeusi:pound:
 
nadhani ni kati ya watu wachache weusi sana duniani......anaweza kuwa mshindi katika GUINESS world book of record..kwa kuwa mweusi

Kwa taarifa yako ni kuwa watu weusi kuliko wote duniani wanapatikana Southern Sudan.
Kama una muda (kwa ajili ya evidence) tafuta kwenye internet.
 
Back
Top Bottom