sikujua kama kutafuta kazi ni shughuli nzito hivi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />Jaribu ujasiriamali ni shughuli rahisi zaidi..............
<br />Hii inanifanya nizidi kuiheshimu kazi yangu japo nafanya kazi isyoendana na profession yangu, nina CPA lkn sio muhasibu siiachi hata kidogo bora mkono wenda kinywani bila shida.<br />
Komaa kijana utapata ila ndio hivyo sio lazima upate kazi ya ulivyosomea pekee,yeyote pouwa hapa bongo bana Daktari anakua bank Teller.
<br />Ni kweli bwana wenzio tupo mtaani mwaka wa 3 na vyeti vyetu kila kazi wanataka uzoefu
bila shaka utakuwa na fani ya UHASIBU...Ni kweli bwana wenzio tupo mtaani mwaka wa 3 na vyeti vyetu kila kazi wanataka experience
uhasibu ni tatizo, mi nililitambua hlo mapema, nikachepuka 2nd yrbila shaka utakuwa na fani ya UHASIBU...
<br /><br /><br />
<br /><br />
gamba lako ni la fani gan na kutoka chuo gan?