Yes that's brotherhood, gari ya sharo millionea ni Toyota Opa ambayo wa safari za kijijini haifai as ipo chini sana...
So as brothers mnasaidiana as anakwenda kwa mama na mazaga zaga kama una gari ya juu huitumiii unamwachia jamaa apande nayo as vijijini barabara sio nzuri kwa gari za chini...
hata ningekuwa mimi hapo Gari huwez liwaza ni kitu kidogo sana as ukilinganisha na kumpoteza rafiki yako mnaependana..
I real miss you sharo millionea especially kila nikilisikia neno meeen