Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

Michepuko haizuiliki na kila mwanaume akisema atulie na mwanamke wake wanawake wengi watakosa wanaume.

Hiyo ni theory tu wapo wanaume wengi tu wameoa na wametulia tuli na wanawake walio tulia ndo wanaolewa tu
 
Hahaha..pia unatetea uhalisia wa jina lako miss mbeya.

Naongea ukweli Mkuu unaweza kugundua Huyu mwanaume katulia au laa kwa kuangalia hats comments zake tuu
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni theory tu wapo wanaume wengi tu wameoa na wametulia tuli na wanawake walio tulia ndo wanaolewa tu

Hivi miss hutambui mko wengi kuliko wanaume? Mfalme suleiman mwenye hekima alikuwa na wanawake mia saba wa ndoa wa nje ya ndoa mia tatu
 
Naongea ukweli Mkuu unaweza kugundua Huyu mwanaume katulia au laa kwa kuangalia hats comments zake tuu

Turudi kwenye topic. Ni halali mtu kuanza kuchunguza mahusiano ya watu? Anajuaje Kama ke karidhika Naye? Ningemwona mwema kama angeambiwa na shoga ake amsaidie kumsoma huyo me then ndo aanze kuchunguza.
Hana wa kula nae raha? Anapata wapi muda wa kuchunguza ya wengine na wa kuspend na wake? Anachunguza ameambiwa kuna Richmond hapo :what:
 
Poole Queen Horse,

Kwanza wasamehe bure waliokutukana badala ya kuleta hoja na kuzitetea. Mimi nakushauri mawili ukiweza.

1. Mtokee huyo rafiki yako umwambie ukweli wote. Atashtuka mwanzoni ila umwambie, kama anaenda huko basi ajue kukoje. Mwisho wa siku utakua umemponya na kupatwa na mshtuko kama angeingia kwenye ndoa pasipo kujua. Anaweza aseme ataendelea naye ila atakua anajua ukweli ulivyo.

2. Ukiweza mtokee huyo mkaka, umwambie ukweli. Ni vema akamjulisha rafikiyo ukweli wote na sio kumfunika.

Mi naamini kweli inakuweka huru, utakua rafiki mbaya kama ukinyamaza. Ni heri umshtue mwenzako kwa muda ila utakua umemsaidia maisha yake. Piga picha kwamba wewe ndio huyo rafiki yako, uko kwenye uhusiano ambao hujui ukweli wake, kisha awepo mtu anayejua ukweli asikujulishe! Ungejisikiaje? Ni heri kuwa na rafiki mkweli MMOJA kuliko kuwa na rafiki 20 waongo/waoga.
 
Tafuta njia ya kumwambia ila asijue ni wewe umemuambia.
 
Hv kosa la muulizaji ni nini? Kumbuka hao wanawake malafa ni mama zetu! Tusi la jumla linaunganisha mama zetu dada..nk! Tuwe wastaarabu jamani!
hapana wazaz wangu wote, wanajiheshimu labda ambao cwajui maana na ukoo mkubwa. cjawah kuskia wakiwatakia watu wengine mabaya kama hichi kimayala hapa cjui hana kaz
kama anaona anajenga na afanye lakn kama anaona anabomoa na asepe
 
nyie fanyen shughuli zenu bana, mbona sisi hatuongelei misimu yenu mikubwa mnayohongwa kwa kutoa huduma??? thats why i hate you forever. ww ungelikua unachunguzwa hivo ungefanyaje???
kaz umbea na kutoa uroda huku mnafurahia kuharibu ndoa za watu
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada, umeonyesha kujari sana rafikiyo kutokupotezewa muda. Hata hivyo watu wengi wangependa kujua ni nini kilikusukuma kupekua/kufuatilia kumbukumbu za maisha ya jamaaa ambaye haukuwa na mahusiano nae?

Lengo lake ni kuwa nae yeye si unajua hawa viumbe kwa wivu,hebu fikilia unaanzaje kumfatilia MTU ambaye hakuhusu?
 
Wana MMU habarini za leo,

Kuna jambo linanitatiza na kuniumi za nataka kusema lakinia naogopa mlengwa atalipokeaje jambo hilo mmh naogopa kuitwa mbeya mie maana wanawake hatunaga vifua vya kuvumilia maumivu.Nina rafiki yangu ambaye ana date na kaka flani hivi for more than a year now mkaka anaonyesha ana mcare na kujifanya yuko muwazi kwake kwa kila kitu.

Wakati wanaanza mahusiano mkaka alimwambia ukweli kuwa alikuwa anaishi na mwanamke na wamezaa ila hawakuoana na wametengana kwa muda huo kila mtu anaangalia maisha yake so my friend akaona sio mbaya coz hata yeye alikuwa single na mkaka ni kweli alimvutia wakaamua kuanza mahusiano.Shida imekuja juzi katika pekuapekua yangu ya kimitandao nimegundua yule kaka ameoa ndoa ya kanisani na still wanaishi na mkewe though mke yuko mkoa mwingine kikazi.

Evidence ninazo kuanzia picha za ndoa mpaka picha ambazo alikuwa anapiga na mkewe kipindi hiki ambacho alikuwa anaenda kumtembelea na kumuongopea shosty yuko safarini wana MMU hebu nisaidieni nifanyeje roho inaniuma coz naona kabisa shoga angu anapoteza muda ila je nikimwambia atalipokeajee? Hatoniona mimi mnafiki nataka kuwagombanisha na kuharibu furaha yao?

Maana shosti anamwamini vibaya sana huyu mkaka and kila mara anamsifia a guy is so muwazi and mkweli.



bibie naona unachelewa kufika mtumie hizo picha whatsapp au print umpatie ingekuwa ndoa tungesema utaivunja. but mahusiano huyo kaka anampotezea mda shogako nawe unaangalia!!???

mwambie hata wakikugeuka ujue umefanya yako yakimkuta asikulaumu
 
Inategemea na akili za shoga yako... wewe ndiye unayezijua...

Ila hebu okoa hiyo ndoa aisee

Mijanaume mingine hovyo kabis

Yaani hawa viumbe daah!! Kuna mwingine ni jirani yangu nae ndio hii hii type, mwanaume ameoa na yupo huku 4yrs now, huyo mkewe hajawahi kukanyaga huku so mumewe anaishi na mwanamke mwingine kama mke na wana mtoto now, huwa najiuliza "hivii huyo mwanamke anamuamini nn mumewe hata asitake kujua anakoishi?"
 
Khaaaa miaka 4 hajakanyaga anapoishi mwenzie???
Hiyo ndoa lazima ina walakini..... inawezekana mke huko aliko anafanya yake....



Yaani hawa viumbe daah!! Kuna mwingine ni jirani yangu nae ndio hii hii type, mwanaume ameoa na yupo huku 4yrs now, huyo mkewe hajawahi kukanyaga huku so mumewe anaishi na mwanamke mwingine kama mke na wana mtoto now, huwa najiuliza "hivii huyo mwanamke anamuamini nn mumewe hata asitake kujua anakoishi?"

Ila aliyewaroga mwanaume...... nahisi kafa maana dah... jana nilisoma kisa cha dada mmoja nikahisi unaweza kugawana majengo ya serikali na mtu hivi hivi ukijiona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom