RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,530
- 135,689
Haaaa kaka we ndio huyo mwenye mke nini
Umenichekesha.
Mrembo ulijificha wapi??!!
Haaaa kaka we ndio huyo mwenye mke nini
Umenichekesha.
na mm nikimwonan mume wako kesho namwambia ushenzi unaofanyaga. nimekua nikikuona mara nyingi tuu nakuvungia sasa namwambia mumeo kwamba ww unapgwa nje. halaf nione. nyie wanawake sijui mkoje yan kuingilia maisha ya wanaume hamjambo ila mkiingiliwa au ukweli ukianikwa wazi kuhusu ushenzi wenu urafik mnavunja na visasi vya kufa mtu
Haaaa kaka we ndio huyo mwenye mke nini
Umenichekesha.
Inategemea na akili za shoga yako... wewe ndiye unayezijua...
Ila hebu okoa hiyo ndoa aisee
Mijanaume mingine hovyo kabis[/QUO
unataka uniambie na ww hujawah kuchepuka? kwel nyniy wanawake mna wivu sana i hate you forever
Eeeh kaka taratibu unatuhate forever😁😁😁
Its clear unatatizo jaribu kujitathmin na sio kutuhate forever,mabwaku...,!
teheeeeeeHapana atakua yule kinyezi na mpotea majukwaa
Mchangue lowassa kesi kama hzi hazitakuwepo maana kila mtu atakuwa na ajira ya uhakika kazi za shift ukitoka kazini jioni unaingia kwenye shift ya usiku huto pata mda wa umbeya wa kupekuwa mafaili ya ndoa za watu! #mabadilikolazma
Haaaa kaka we ndio huyo mwenye mke nini
Umenichekesha.
Queen Horse
nyie wanawake sa nyingne ni malafa tuu kazi kufatilia maisha ya wengine. ww unauhakika kwamba anajua kampuni yako ya wanaume na jamaa katulia zake hana mishe na mambo ya watu? kafie mbali kinyago ww nyie ndo mnaoharibu plan za watu na ndoa. ww kama hugongwi za zaid ya wanaume kumi bac hongera
Siku hizi marafiki wa kike ni nuksi kwa mashoga zao. Kama mwanzo wa ufukunyuzi si wivu kuwa amepata mwanaume rijali basi ni kuwa ataolewa kabla yake. Mara nyingi usichana huwa unapotea kwa njia hii.Kwani lengo la huo upekuzi wako mwanzo lilikuwa ni lipi? Kama hukutaka kumwambia, ulichunguza ili iweje?
Message Delivered.Tumpekue na mtoa madaMtu si wako unapeleleza wee!, ndio nyie mnaoharibu ndoa za watu. Huko kwenye mtandao huna vitu vya msingi vya kupekua vitakavyokupatia maendeleo zaidi. Watanzania wengi ni majinga majinga tu!, midada mingi naionaga na misimu mikubwa mikubwa hakuna vitu vya msingi wanavyovifanya kwenye masimu yao. Lini mtapata akili nyie, unampekua pekua baby wa mwenzio na ww unamtaka?. Kila mtu akae upande wake na afanye yake, angekua kaja kukuomba ushauri ndio ungempasha sasa ww kihere here cha nini. Huyo wa kwako umemaliza kumpekua pekua?
Haaaa kaka we ndio huyo mwenye mke nini
Umenichekesha.
Kwa nini nichepuke?
Na kuchepuka ni sifa siku hizi?
Naona watu wanajaribu kufanya kuchepuka kuonekane ni swala la kawaida la msingi. .....
Ndoa iheshimiwe na kila mtu.... wakianza na hao wanandoa wenyewe
We endelea kuni-hate tu.....