Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

mjulishe immediately, bora nusu shari kuliko shari kamili.
Kwa kufanya hivyo utakuwa umelinda ndoa ya huyo kaka pamoja na masilahi ya binti kwa siku za mbeleni
 
Mtu si wako unapeleleza wee!, ndio nyie mnaoharibu ndoa za watu. Huko kwenye mtandao huna vitu vya msingi vya kupekua vitakavyokupatia maendeleo zaidi. Watanzania wengi ni majinga majinga tu!, midada mingi naionaga na misimu mikubwa mikubwa hakuna vitu vya msingi wanavyovifanya kwenye masimu yao. Lini mtapata akili nyie, unampekua pekua baby wa mwenzio na ww unamtaka?. Kila mtu akae upande wake na afanye yake, angekua kaja kukuomba ushauri ndio ungempasha sasa ww kihere here cha nini. Huyo wa kwako umemaliza kumpekua pekua?
 
Kila mmoja wetu anatakiwa kuifanya Dunia na ulimwengu huu kuwa sehemu salama zaidi ya kuishi maisha ya furaha na amani ndani ya nafsi na mioyo ya watu.

Ni vizuri ukamwambia huyo Shoga yako tena ikibidi ya huyo jamaa yake. Taarifa sahihi humsaidia mtu kufanya maamuzi sahihi. Kama yupo tayari kuendelea nae aendelee nae huku akiujua ukweli.
 
Tafuta mbinu aone picha bila wewe kumwambia kitu usikilizie atakavyo-react.Maana unaezajifanya unamwambia kumbe anajua kila kitu. utapata aibu sana dadangu.m2mie m2 wa mbali hzo picha afu mpe namba ya watsup ya huyo shoga yako,mwambie amrushie.au sajili lain mpya kwa jina bandia ukishamrushia uitupe hyo laini then uckilizie!
 
Mtu si wako unapeleleza wee!, ndio nyie mnaoharibu ndoa za watu. Huko kwenye mtandao huna vitu vya msingi vya kupekua vitakavyokupatia maendeleo zaidi. Watanzania wengi ni majinga majinga tu!, midada mingi naionaga na misimu mikubwa mikubwa hakuna vitu vya msingi wanavyovifanya kwenye masimu yao. Lini mtapata akili nyie, unampekua pekua baby wa mwenzio na ww unamtaka?. Kila mtu akae upande wake na afanye yake, angekua kaja kukuomba ushauri ndio ungempasha sasa ww kihere here cha nini. Huyo wa kwako umemaliza kumpekua pekua?


Mkuu inaonyesha huwa wanakuvuruga sana hawa viumbe.....Btw ndoa inaharibiwa na wanandoa wenyewe kwa kushindwa kusimammia viapo vyao,vingine visingizio tu
 
kwanini sisi wa Tz wengi wetu hatupendi kuwa wawazi na wakweli?yaani baadhi ya waafrika wenzetu Hawako hivi! wenzetu wanalindiana mahusiano yao,wakiona bwana au demu wa flani anaharibikiwa hawamfichi,wanasema haraka,hasa RAFIKI kama wewe ndo wala usijiulize!usikubali aharibikiwe,maana hapo atapoteza muda tu hakuna future hapo!mwambie
 
Hata wewe Queen Horse ni wa kuchunguzwa si bure pengine ni wewe unataka kupokea cross hiyo.Iweje uanze kumchunguza kiundani kama huna jambo? Ni vipi uwe na taarifa zote muhimu kama hakuna manufaa binafsi hapo?
 
Last edited by a moderator:
The world will be destroyed not by those who are doind evil things but by those who witness evils and doing nothing!!
 
Bahati nzuri uyo shosti ako ni member hapa jukwaani, so ameshajua..


J.K ..........just kidding
 
Ningekuwa mimi ningemwambia tu kwa kweli, provided kuwa ushahidi upo. Hata kama atakununia, itakuwa kwa muda tu, baadaye atakushukuru. But utakuwa umesaidia future yake na utakuwa umesave ndoa ya watu. Au kama huna courage ya kumwambia directly, jipigishe story weee utafute na ka njia ka kumpeleka apite kwenye hizo picha.

Sema inategemea sana uelewa wa huyo rafiki, ila wewe mwambie tu, utakuwa umeplay part yako kama rafiki. Wakiendelea kuchepuka ni uamuzi wake. Wewe nafsi yako haitokusuta hata
na mm nikimwonan mume wako kesho namwambia ushenzi unaofanyaga. nimekua nikikuona mara nyingi tuu nakuvungia sasa namwambia mumeo kwamba ww unapgwa nje. halaf nione. nyie wanawake sijui mkoje yan kuingilia maisha ya wanaume hamjambo ila mkiingiliwa au ukweli ukianikwa wazi kuhusu ushenzi wenu urafik mnavunja na visasi vya kufa mtu
 
Wanawake bhana... muwe mnafikiria vizur basi. Unaoba raha sana kuingilia mambo ya watu sio. Unajuaje plan za jamaa maana ya wezekana ndoa ya kwanza ishamshinda ndo maana yuko upande wa pili. Shut your ... Forever uwaachie mambo yao wenyewe.
 
na mm nikimwonan mume wako kesho namwambia ushenzi unaofanyaga. nimekua nikikuona mara nyingi tuu nakuvungia sasa namwambia mumeo kwamba ww unapgwa nje. halaf nione. nyie wanawake sijui mkoje yan kuingilia maisha ya wanaume hamjambo ila mkiingiliwa au ukweli ukianikwa wazi kuhusu ushenzi wenu urafik mnavunja na visasi vya kufa mtu
Hahahaahahhahahhahaahahhahahahaa yani nikimcheat my paulo, mwambie tu kwa kweli maana ntakuwa kiumbe kisicho na shukrani wala kujitambua. Hakuna kitu utakachokifanya kwa siri kisigundulike, Ipo siku ukweli utajulikana tu. Afu huna haja ya kumkasirikia atakayetoa siri zako, ona aibu kwa nini ulimtenda mkeo/ mumeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom