Mambo kama haya ndio yanafanya ndugu zetu waislam wajilipue maana wakienda ahela wanakutana na mizigo kama hii 40 kwa uchache alafu wanapewa nguvu ya kutumia mizigo mia
uongo neno usemalo...Hakuna dini iloamrisha ujilipue...Kujiua mwenyewe kwanza ni dhambi...Subiri Mungu akuchukue kwa hiyari yake sio wewe ujiue au uuwe mwenzio...
Hao wanaojilipua ni wale waliochoka maisha kama hao panya pori au mbwa mwitu wanaanza hivyo hivyo...
Mambo kama haya ndio yanafanya ndugu zetu waislam wajilipue maana wakienda ahela wanakutana na mizigo kama hii 40 kwa uchache alafu wanapewa nguvu ya kutumia mizigo mia