Mmh jamani wadada na skin tait zenu dah!

Mmh jamani wadada na skin tait zenu dah!

asee nyi wadada noma...,majuz nlkua zang lab nakula kitin.,kupga jcho mbele kuna kacsta duu kamepoz uku hazina ikiwa waz.,kana paja zuriii..,mpk nkasau nlchokua nasoma.

kwi kwi kwi mbafu sangu...
 
Mi hata nionee mwanaume mzuri kama nini hua sigeukii maana hua naona bado hajamzidi wangu hata robo,!

umeongea ukweli kbs...
1146617_470329979743988_1316794212_n.jpg
 
Ila mi sijui nikoje,hata kama mwanamke akapita na nguo fupi kupita chupi wala sina mpango.
 
Kiukweli,tunajidhalilisha...mimi binafsi,huwa naona skin tight ni vazi la ndani,sio la kutembelea mitaani.
 
Siku hizi bana wadada wakivaa hizi skin tait zao yani zinabana wowo yaani mpaka hadi mchoro wa Pichu ndani na rangi yake unaonekana!

Ukikuta na nyonyo limebetuliwa juu mh!

Ni shidaa wajameni Punguzeni kututega jamani.

Ndio maana siku hizi hata kupenda kumeisha midume imebaki kutamani makalio tu ikishapiga mzigo inasepa kimyakimya! Mmh mjini jamani michepuko haitaisha!

vyote hivyo ujue ni kwa ajili ya kuwa kivutio tu!

kuwa mwanamke kazi!
 
samahaan sana wanajamvi,ila mi binafsi nafarijika saaana walah nionapo maua mazur kama hayo,hakuna wanawake wazur dunian kama wakiafrika...africa tulalamike vyoote ila sio wanawake,jaman,wanawake wa kiafrika especialy wakibongo,wananikosha sana,mfano pale mwenge,daah,hamnaga mwanamke mbaya atii,na wote wanamakalio skuhiz,thaank u mchina,wacha wenye uwezo tuyafaidi asee(wit condom hahaha),..ila samahan sana wadau,hua nashindwa vumilia.lazma niangalie tuu hata iweje
 
Shamkware ishinde tamaa hakika utapona.Alafu muwe mnaheshimu dada zetu sio kila unayemwona unamtamani.

Heshima si wanaume kuwaheshimu kina dada tu, bali na kina dada wajenge heshima kwa kaka zao kwa kutowatamanisha kwa kuvaa nguo zinazoibua hisia za kutamani. Juwa kwamba naturally kila jinsi imeumbwa kuvutika na jinsi nyingine, this is a scientific fact, tusibishane nayo.cha msingi ni kuondoa/kuepusha mazingira ya KUVUTIANA baina ya jinsi hizo.
 
Last edited by a moderator:
Fashion nyingine balaaa..
Tuna copy sana wazungu .
Na shape za wazungu zinawaruhusi wao kuvaa
Hizo tights .

Sisi wadada wa kiafrica hips Kule ---- ndio
Usiseme ... Wengi paja kubwa mguu sindano duuuhhhh
Vitu vingi be aibu bana .

But hey, is a free world....
 
Back
Top Bottom