Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,814
- 110,067
We hua huangaliii vyombo??@watu8
labda itokee tu...
We hua huangaliii vyombo??@watu8
Hivi dada camel toe kiswahili chake huwa ni nini? Na sijui inapatikana wapi hii?
Usiwe unaangalia, kama waangalia basi tatizo ni wewe mwenyewe umejawa na tamaa
kajala huyo p.funk ashamgeuza sana tu
Mitego hiyo
Shetani ana nguvu nyie,unaweza ukapishana namwanamke kavaa hivyo.Kwa mbele utampita,lakini ghafla unaweza sikia shetani akikusimanga kwa mbaali.. "Wewe jamaa,umemuangalia kwa mbele hujauona uzuri,geuka na nyuma sasa". Sasa na wewe hapo kama ukasikiliza na ukageuka nyuma,lahaulaaaaaa:
Usiwe unaangalia, kama waangalia basi tatizo ni wewe mwenyewe umejawa na tamaa
Mitego hiyo
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mwanamkeEti kama hivi mwanaume anaumia Mmh!!
Mbona kawaida?
Siye mbona hatusemi mnatuumiza kukaa vitumbo wazi? 😉
Siku hizi bana wadada wakivaa hizi skin tait zao yani zinabana wowo yaani mpaka hadi mchoro wa Pichu ndani na rangi yake unaonekana!
Ukikuta na nyonyo limebetuliwa juu mh!
Ni shidaa wajameni Punguzeni kututega jamani.
Ndio maana siku hizi hata kupenda kumeisha midume imebaki kutamani makalio tu ikishapiga mzigo inasepa kimyakimya! Mmh mjini jamani michepuko haitaisha!
labda itokee tu...
Dah kwa stail hii wasahau ndoa kwa stail hii mtu utasubutu kutembea na mke wako ukute mkitu umetunishwa hivi alafu uko na wifu... usikate jicho aah atanisamehe tu.
hehee ni kwei hujui