Usiwe unaangalia, kama waangalia basi tatizo ni wewe mwenyewe umejawa na tamaa
Mkuu sasa wakipita tuangalie chini au pembeni? Tutajikwaa halafu!
Usiwe unaangalia, kama waangalia basi tatizo ni wewe mwenyewe umejawa na tamaa
hahaa yaani unakuta mtu mnenee huyo halafu kavaa ile tyt
na katop kanaishia juu juu daah unajikuta we ndio unaona aibu sasa
Mhh kuna mavazi mwengine ni shidaa.mtu anajijua majaliwa af anavaa leggings na vest km anaenda mazoezi kumbe ndo mtoko huo,
mi naona they like 'attention' bila kujua ts the wrong kind...af bora mtu uwe na gari,sasa mvao ajabu af kwenye daladala mhhh
kiboko yao ni museven
umeona eeeeeh yani full aibu kumwambia unashindwa unabaki kumezea tu
mwenzangu,kama daslama hii utawaambia wangapiii...muda uko wapi huo
Mkuu sasa wakipita tuangalie chini au pembeni? Tutajikwaa halafu!
Mhh kuna mavazi mwengine ni shidaa.mtu anajijua majaliwa af anavaa leggings na vest km anaenda mazoezi kumbe ndo mtoko huo,
mi naona they like 'attention' bila kujua ts the wrong kind...af bora mtu uwe na gari,sasa mvao ajabu af kwenye daladala mhhh
ukiona minyonyo imebenjuliwa njuu, ujue sindiria ikitolewa tu..... shughuli!
Pole kwa kutegwa kaka, kama vipi na wewe watege na six pak yako
Yaani ni shida kwa kweli! Sijui hata nako toka wanaomjua hawasemi?!
Endelea kuangalia yanayokuhusu...sio kila kitu ambacho jicho limekiona lazima ukiangalie mara mbili mbili
Kinachotafsiriwa katika ubongo wako ndicho kinachokupa hamasa ya kuendela kuangalia au lah...